HASSAN NA HUSSEIN WAREJEA NCHINI BAADA YA KUFANYIWA UPASUAJI WA KUWATENGANISHA NCHINI SAUDI ARABIA ULIODUMU KWA SAA 16

 Watoto Hassan na Hussein Amri Jummane (3) waliozaliwa wakiwa wameungana kwenye nyonga, kifua na wana miguu mitatu sasa wamereja nchini baada ya kufanyiwa upasuaji wa kutenganishwa huko nchini Saudi Arabia.   Akizungumza na vyombo vya habari kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Dkt. Rachel Mhaville amesema watoto hao walipokelewa hospitalini…

Read More

Kwanini timu za Taifa Mapinduzi Cup?

HAKUNA habari za ushiriki wa Simba wala Yanga kwenye michuano ya Mapinduzi Cup msimu huu na waandaaji wametoa sababu zao za msingi kuwa ni kutoa fursa ya kuziandaa timu za Taifa zitakazoshiriki CHAN mwakani pamoja na Afcon. Makamu Mwenyekiti Kamati ya mashindano ya Kombe la Mapinduzi, Suleiman Jabir alisema  mashindano hayo msimu huu 2025 yatajumuisha…

Read More

Waombolezaji wahoji mhusika mauaji ya mfamasia

Dar es Salaam. Wakati leo Jumatatu, Desemba 9, 2024 mwili wa aliyekuwa Mfamasia wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Temeke (THHR), Dar es Salaam, Magdalena Kaduma ukiagwa, swali linaloulizwa na waombolezaji ni nani aliyemuua mfamasia huyo. Desemba 4, 2024, familia ya Kaduma ilipokea taarifa za kupotea kwa binti yao Magdalena kupitia simu ya mumewe,…

Read More

Mbeya yaingilia kati Prisons na Ken Gold

WAKATI Tanzania Prisons na Ken Gold zikiendelea kuchechemea kwenye Ligi Kuu, chama cha soka mkoani Mbeya (Mrefa) kimezitaka timu hizo kutekeleza ushauri wa kamati ya mashindano ili kukwepa aibu ya kushuka daraja. Timu hizo pekee mkoani Mbeya kwenye Ligi Kuu, hazijawa na matokeo mazuri na kuweka presha kwa mashabiki na wadau wa soka katika vita…

Read More

Video ya Ofisa Magereza yaibua mjadala

Dar/Moshi. Sauti ya Ofisa wa Jeshi la Magereza ikiashiria iko siku maofisa wa Jeshi hilo wataonyeshana umwamba na wale wa Jeshi la Polisi nchini, imeibua mjadala katika mitandao ya kijamii juu ya uhalali wa kauli ya ofisa huyo. Baadhi ya wanasheria wamesema kilichotokea ndio picha halisi iliyopo barabarani ambapo madereva wengi wa Serikali wanajiona wapo…

Read More

Timu nne za Bunge zaibuka kidedea katika michezo mitatu

Spika wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Mheshimiwa Joseph Ntakirutimana akisalimiana na Mchezaji wa Timu ya Mpira wa Pete kutoka Bunge la Tanzania, Mheshimiwa Bupe Mwakang’ata wakati timu hiyo ikijiaanda kuingia uwanjani kuchuana na Timu ya EALA. Mchezo huo uliofanyika katika Uwanja wa Aghakani Jijini Mombasa, Kenya, ulimalizika kwa Timu ya Tanzania kuifunga Timu ya…

Read More

2024 ulivyokuwa shubiri kwa Gamondi, Benchikha na Aussems

Mwaka 2024 unakwenda ukingoni, ukiangalia mshikemshike wa Ligi Kuu Bara umekuwa na mambo mengi. Katika kipindi cha mwaka mzima kuanzia Januari 2024 hadi Desemba 2024, timu 17 za ligi hiyo kati ya 18 zimefanya mabadiliko kwenye mabenchi yao ya ufundi. Makocha 22 wamefanyiwa mabadiliko. Timu hizo 18 zinahusisha Mtibwa Sugar na Geita Gold ambazo zimeshuka…

Read More