Mfahamu aliyeongoza mapinduzi ya Rais Assad wa Syria

Dar es Salaam. Baada ya utawala wa familia ya aliyekuwa Rais wa Syria, Bashar al-Assad uliodumu kwa zaidi ya miaka 53 kuangushwa, yupo mtu aliyekuwa nyuma ya pazia kufanikisha operesheni hiyo. Mtu huyo ambaye ni kiongozi wa kijeshi anajulikana kama Abu Mohammed Al-Jolani, ndiye aliyeongoza operesheni ya kumng’oa Rais Assad ambaye kwa upande wake ametawala…

Read More

Mahama apata ushindi wa kihistoria katika uchaguzi – DW – 09.12.2024

Tume ya uchaguzi ya Ghana bado haijatoa matokeo rasmi, lakini Mahamudu Bawumia, makamu wa Rais na mgombea wa chama tawala cha New Patriotic, alikiri kushindwa. Bawumia alitangaza kuwa Waghana walitaka mabadiliko. “Mabibi na mabwana, tumekubali kushindwa kama mwanademokrasia mkamilifu angefanya. Lakini hatujaachana na vita vya kubadilisha Ghana na kupanua fursa kwa makundi yote ya jamii…

Read More

Fountain Gate yawinda straika Zenji

KLABU ya Fountain Gate iko katika hatua za mwisho za kukamilisha uhamisho wa nyota wawili, beki wa kati Shabani Pandu Hassan na mshambuliaji Mudrik Abdi Shehe ‘Gonda’ kutokea JKU ya visiwani Zanzibar, ili kuongeza makali ya timu hiyo. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo, zililiambia Mwanaspoti nyota hao wako hatua za mwisho za kukamilisha uhamisho…

Read More

Ukweli kuwa mapenzi yalizaliwa Tanga

Tanga. Mkoa wa Tanga, upo Pwani ya kaskazini ya Tanzania, umepata sifa maalum katika masuala ya mapenzi na jinsi wakazi wake hasa wanawake wanavyodumisha na kuonyesha upendo wa dhati kwenye uhusiano. Inasemekana kwamba, kama kuna mahali ambako mapenzi yanaheshimiwa na kuenziwa hapa, basi ni Tanga. Hapa inaelezwa kuwa  mapenzi hayachukuliwi kama hisia tu bali ni…

Read More

Kennedy, Manyama kuchomolewa Singida Black Stars

WAKATI dirisha la usajili likikaribia kufunguliwa, Singida Black Stars itaingia sokoni kusaka beki wa kati na mshambuliaji katika kukiongezea nguvu kikosi chake. Singida ilianza msimu vizuri ikiongoza ligi kwa wiki kadhaa ikiwa chini ya kocha Patrick Aussems ‘Uchebe’, aliyewahi kuinoa Simba lakini baadaye nguvu yake ikaonekana kupungua na kushuka hadi nafasi ya nne. Timu hiyo…

Read More

Rais Assad wa Syria, familia wapewa hifadhi Russia

Moscow. Rais wa Syria, Bashar Al-Assad, aliyepinduliwa jana Jumapili Desemba 8, 2024 pamoja na familia yake wamewasili nchini Russia walipopewa hifadhi. Mashirika ya habari ya Russia yameripoti yakinukuu chanzo cha Ikulu ya Kremlin: “Rais Assad wa Syria amewasili Moscow. Russia imewapa (yeye na familia yake) hifadhi kwa misingi ya kibinadamu.” Assad amepinduliwa baada ya waasi…

Read More