Saa 6 za kesi ya kina Shilton, yapangwa kusikilizwa Feb 10

HUWEZI kuamini, lakini ukweli ni kwamba serikali imetumia karibu saa sita kusoma maelezo ya mashahidi na vielelezo (commital proceedings) katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin zenye uzito kilo 34.89 inayomkabili mmiliki wa kituo cha Cambiasso Sport Academy, Kambi Seif na wenzake watano. Saa hizo zimetumika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu,…

Read More

Uwekezaji wavutia meli kubwa China kutia nanga Bandari ya Dar

  MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeendelea kupokea meli kubwa za mizigo katika bandari yake ya Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya mafanikio baada ya uwekezaji mkubwa kufanyika katika bandari hiyo uliopeleka maboresho mbalimbali ya utendaji na utoaji huduma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Akizungumza na waandishi wa habari…

Read More

Yanga yazipiga bao Simba, Azam FC

KIKOSI cha Yanga ambacho juzi usiku kilipoteza tena mechi ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kufumuliwa 2-0 na MC Alger ya Algeria, imezipiga bao Simba na Azam zinazochuana nao katika kuwania ubingwa wa Ligi Kuu. Kipigo cha juzi usiku kilikuwa cha pili mfululizo kwa Yanga iliyopo Kundi A, baada ya awali kulazwa 2-0…

Read More

Uamuzi mgumu Yanga | Mwanaspoti

HESABU za Yanga kwa sasa hazipo sawa baada ya kupoteza mechi ya pili ya Kundi A katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ikitishia tumaini la kucheza robo fainali kwa msimu wa pili mfululizo, lakini tayari mabosi wa klabu hiyo akiwamo Kocha Sead Ramovic wamepanga kufanya uamuzi mgumu kwa timu hiyo. Yanga ilipoteza mchezo wa…

Read More

MILLEN HAPPINESS MAGESE AMKABIDHI SHILINGI MILIONI TATU MWANAMITINDO BORA WA SAMIA FASHION FESTIVAL ZANZIBAR

Na Mwandishi Wetu MWANAMITINDO wa Kimataifa Millen Happiness Magese amekabidhi kitita cha Sh.milioni tatu kwa Mwanamitindo Elizabeth Masuka aliyeibuka mshindi wa Samia Fashion Festival Zanzibar mwaka 2024. Millen Happiness Magese aliyekuwa Jaji Mkuu wa Samia Fashion Festival Zanzibar alikabidhi hundi ya fedha yenye thamani ya Sh.milioni tatu katika Hoteli ya Urban by City Blue iliyopo…

Read More

NGORONGORO WATHIBITISHA KUACHANA NA KUNI INAWEZEKANA

-Wajitokeza kwa wingi kujipatia majiko ya gesi ya ruzuku Wakazi wa Wilaya ya Ngorongoro Mkoani Arusha wameitikia wito wa kutumia Nishati Safi ya Kupikia ikiwa ni hatua ya kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kulinda afya na kutunza mazingira. Hayo yamedhihirika Desemba 8,2024 Wilayani…

Read More

Mwenyekiti UWT Njombe atunukiwa Shahada ya Uzamivu

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Njombe, Scholastica Kevela ametunukiwa Shahada ya Uzamivu katika masuala ya fedha (PhD in Finance) na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT). Kevela ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Udalali ya Yono ametunukiwa PhD hiyo Desemba 5,2024 na Waziri Mkuu Mstaafu na Mkuu wa Chuo…

Read More

Mapya mauaji ya mfamasia, mama afichua

Dar es Salaam. Kutokana na utata unaozunguka kifo cha aliyekuwa mfamasia wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Temeke (TRRH), Magdalena Kaduma, mama yake mzazi ameelezea jinsi alivyopokea taarifa za kupotea kwa binti yake. Magdalena alitoweka Desemba 3, 2024, nyumbani kwake Kibamba, jijini Dar es Salaam, mwili wake ulipatikana ukiwa umefukiwa pembezoni mwa nyumba aliyokuwa…

Read More