Mitazamo tofauti ya wadau panga-pangua ya Rais Samia

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ameendelea kupanga safu ya wasaidizi wake kwenye nafasi mbalimbali ikiwemo kuligusa kwa mara nyingine baraza lake la mawaziri. Katika mabadiliko hayo, Rais Samia ameirejesha wizara ya zamani ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Awali, majukumu ya sekta ya habari yaliunganishwa kwenye Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari….

Read More

Ujenzi wa nyumba Hanang wakamilika

Arusha. Tabasamu lakaribia kurejea. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mwaka mmoja tangu kutokea kwa maafa yaliyosababishwa na maporomoko ya mawe, tope na miti kutoka Mlima Hanang yaliyotokea Desemba 3, 2023 wilayani Hanang mkoani Manyara. Kaya 108 zilizokosa makazi kutokana na maafa hayo zinatarajia kurejesha tabasamu tena baada ya ujenzi wa nyumba 108 zilizojengwa kwa ajili…

Read More

Habib Kyombo ajiandaa kutua Pamba Jiji

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba ambaye kwa sasa anakipiga, Singida Black Stars, Habib Kyombo amejiunga na Pamba jiji kwa mkataba wa miezi sita. Kyombo ambaye amepoteza namba kwenye kikosi cha kwanza cha Singida Black Stars anajiunga na timu hiyo kwa mkopo akitokea Black Stars. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya timu hiyo kimeliambia Mwanaspoti kuwa…

Read More

Kilombero Festival kuchochea Utalii na kuvutia wawekezaji

Katika kuendeleza kutangaza vivutio vya utalii na utunzaji wa mazingira nchini Wilaya ya Kilombero iliyopo Mkoani Morogoro imefanya tamasha maalum linalofahamika kwa jina la Kilombero Festival ambalo limejumuisha taasisi mbalimbali za utalii,Kilimo na utamaduni. Mkuu wa Wilaya ya Kilombero wakili Dunstan Kyobya amesema hili ni tamasha la kwanza kufanyika katika wilaya huyo huku lengo ni…

Read More

Mbio za uenyekiti za Mbowe, Lissu zinavyoigawa Chadema

Dar/mikoani. Uamuzi wa Tundu Lissu kukusudia kuchuana na Freeman Mbowe katika kinyang’anyiro cha uenyekiti wa Chadema, umekigawa chama hicho pande tatu huku sababu za Lissu kuamua kuchukua hatua hizo zikibainika. Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara anatarajia kutangaza nia hiyo wakati wowote kumvaa mwenyekiti wake, Mbowe kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mapema mwakani. Si Mbowe…

Read More

Serengeti Boys yaanza hesabu Afcon U17

KIKOSI cha Serengeti Boys, kinaendelea na maandalizi yake kwa ajili ya michuano ya kufuzu kwa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) U17 kwa kanda ya CECAFA, itakayofanyika kuanzia Desemba 14 hadi 28, 2024, Uganda. Katika maandalizi hayo, kocha wa kikosi hicho,  Agrey Morris, alisema kuwa timu yake iko katika hali nzuri na inajiandaa kikamilifu kwa…

Read More

Mvua yawaliza walima tumbaku Chunya wajipanga upya kimkakati

Chunya. Wakulima wa tumbaku katika Kata ya Lupa, Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya, wamesema mabadiliko ya tabianchi yameathiri uzalishaji wa zao hilo. Wanasema hali hiyo imesababisha kutofikiwa kwa lengo la msimu uliopita huku wakisema katika msimu mpya wa kilimo, wamepanga mikakati madhubuti itakayosaidia kuongeza uzalishaji. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika cha Wakulima…

Read More