Radi yaua watano wa familia moja, yajeruhi sita Chunya

Mbeya. Watu watano kutoka jamii ya wafugaji wamepoteza maisha na wengine sita kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi kutokana na mvua kubwa iliyonyesha usiku. Tukio hilo limetokea katika Kijiji cha Isangawane, Kata ya Matwiga, Wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya na inaelezwa kuwa hili ni tukio la pili kwa mwezi huu ambapo radi iliyotokea awali…

Read More

Mastraika TMA wampa jeuri Mwalwisi

KATIKA kuhakikisha TMA inafanya vizuri katika Ligi ya Championship msimu huu, kocha mkuu wa kikosi hicho, Maka Mwalwisi ameweka wazi kuridhishwa na safu yake ya ushambuliaji hadi sasa, huku akiwataka mabosi kutofanya usajili kwa mihemko. Mwalwisi alisema hadi sasa safu ya ushambuliaji imeonyesha matumaini makubwa na licha ya changamoto za eneo la kujilinda, hawataingia sokoni…

Read More

Josiah afichua siri ya Maguli

BAADA ya Geita Gold kuinasa saini ya mshambuliaji, Elias Maguli kutoka Biashara United, kocha wa timu hiyo, Amani Josiah amesema usajili wa nyota huyo ni wa kimkakati ili kuongezea makali safu yake ya ushambuliaji. Nyota huyo amerejea ndani ya kikosi hicho alichokitumikia msimu wa 2023-24, huku akiandika historia ya kuwa mchezaji wa kwanza kufunga bao…

Read More

Radi yaua watano, yajeruhi sita Chunya

Mbeya. Watu watano kutoka jamii ya wafugaji wamepoteza maisha na wengine sita kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi kutokana na mvua kubwa iliyonyesha usiku. Tukio hilo limetokea katika Kijiji cha Isangawane, Kata ya Matwiga, Wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya na inaelezwa kuwa hili ni tukio la pili kwa mwezi huu ambapo radi iliyotokea awali…

Read More

SONGEA WAIOMBA SERIKALI KUBORESHA BUSTANI YA WANYAMAPORI RUHILA

Na Mwandishi Maalum,Songea Wanchi wa wilaya ya Songea mkoani Ruvuma,wameishauri Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii kuboresha Bustani ya wanyamapori Ruhila Zoo ili kushawishi na kuvutia watu wengi zaidi kwenda kutembelea bustani hiyo ya wanyama. Wamesema,licha ya Mamlaka ya udhibiti wa wanyamapori Tanzania(Tawa) kanda ya Kusini kupeleka wanyama,lakini katika eneo hilo kuna changamoto nyingi…

Read More

Askari 13, muuguzi wadaiwa kuua mfungwa kwa kipigo

Marekani. Askari 13 na muuguzi mmoja wako hatarini kufukuzwa kazi katika Gereza la Marcy jijini New York, Marekani baada ya kuhusika katika shambulizi lililosababisha kifo cha mfungwa katika gereza hilo. Kipande cha video kilichotolewa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali nchini humo, kinaonyesha askari hao wakimshushia kipigo mfungwa huyo, Robert Brooks (43) muda mfupi…

Read More

Yanga vs Fountain Gate ni mechi ya mabao

WAZEE wa Gusa, Achia twende kwao, leo wanashuka uwanjani kumenyana na Fountain Gate katika pambano la Ligi Kuu Bara ambayo huenda likashuhudiwa mabao mengi kutokana na timu zote kuwa na uwezo wa kutupia mipira nyavuni, huku wageni wakiwa na ukuta mwepesi ambao ukikaa vibaya utaondoka na kapu. Mchezo huo utakaopigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex,…

Read More