Bajana, Zayd wamkosha Taoussi | Mwanaspoti

KOCHA wa Azam FC, Rachid Taoussi, ameonyesha kuridhishwa na viwango vya viungo wake, Sospeter Bajana na Yahya Zayd, baada ya kuongoza timu hiyo kuibuka na ushindi mkubwa wa mabao 4-0 dhidi ya Iringa SC kwenye mchezo wa raundi ya tatu ya Kombe la Shirikisho (FA). Ushindi huu unakuwa ni wa nane mfululizo kwa Azam FC…

Read More

Hivi ndivyo unavyoweza kujinasua dhidi ya uraibu wa ‘kubeti’

Dar es Salaam. Kama unashiriki michezo ya bahati nasibu ‘kubeti’ na umefikia hatua unatamani kuacha na unashindwa, zipo mbinu kadhaa zitakazokusaidia kufanikisha hilo. Kwa mujibu wa ushuhuda wa waliofanikiwa kujinasua kutoka kwenye uraibu wa kubeti, si rahisi kujitenga na michezo hiyo, ingawa inawezekana. Sambamba na ushuhuda wa waraibu, wanazuoni nao wanaunga mkono uwezekano wa kuondokana…

Read More

Haji Mnoga kuwavaa Man City

BEKI wa Kitanzania, Haji Mnoga anayekipiga Salford City inayoshiriki Ligi Daraja la Tatu, huko England anatarajiwa kuwavaa wababe wa Ligi Kuu ya England (EPL), Man City katika mechi ya Kombe la FA itakayopigwa Januari 11 mwakani. Nyota huyo kabla ya kujiunga na klabu hiyo ya Ligi Daraja la Tatu msimu huu, alipita Portsmouth, Aldershot Town…

Read More

Ubambikiaji kesi ulivyomtia matatani ‘ofisa’ wa Polisi

Geita. Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Geita, imebariki kutiwa hatiani na adhabu ya kulipa faini ya Sh500,000 au kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela kwa aliyekuwa askari wa Jeshi la Polisi mwenye cheo cha Koplo, Mathew Lusangija. Ushahidi uliomtia hatiani unaonyesha Lusangija alimfuata Burugu Malingila, na kumtuhumu kuhifadhi wahamiaji haramu na kujihusisha na uganga…

Read More

Kapilima mambo magumu KenGold | Mwanaspoti

KOCHA wa KenGold, Omary Kapilima amekiri timu hiyo kupitia kipindi kigumu baada ya kushuhudia ikiondolewa hatua ya 64 Bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho na Mambali FC ya Tabora, ikiwa ni mwendelezo mbovu wa kikosi hicho msimu huu. Timu hiyo ilikumbana na kichapo hicho cha kutolewa kwa penalti 4-3, baada ya sare ya kufungana…

Read More

Medo matumaini kibao Kagera sugar

KOCHA wa Kagera Sugar, Melis Medo, ameweka wazi kuwa anaona dalili za maendeleo katika kikosi chake baada ya kuvuna pointi tano katika michezo minne ya hivi karibuni ya Ligi Kuu Bara. Medo aliyeiongoza timu hiyo juzi jioni kuvaana na Tanzania Prisons na kulazimishwa suluhu nyumbani alisema kuwa, licha ya timu yake kupata matokeo hayo, bado…

Read More

Huyu hapa fundi mpya Yanga

YANGA imemshusha kocha wa mazoezi ya viungo mpya, Adnan Behlulovic ikiwa ni siku chache baada ya kuibuka mzozo kati ya kocha mkuu wa timu hiyo, Sead Ramovic na kocha wa mazoezi hayo aliyemkuta Taibi Lagrouni. Kupishana kwa wawili hao, kisha Lagrouni kukacha safari ya kwenda na timu hiyo Algeria, imefanya mabosi wa Yanga haraka kuingia…

Read More