Sh110 bilioni kuboresha mashamba ya misitu, mikoko

Dar es Salaam. Tanzania imesaini mkataba wa Euro 39.9 milioni (sawa na zaidi ya Sh109.83 bilioni) na Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD), kwa ajili ya kuimarisha usimamizi wa mashamba ya miti ya Serikali na kuhifadhi misitu ya mikoko. Mradi huu unalenga kuziba pengo hilo kwa kupanda hekta 22,500 za miti ndani ya miaka mitano…

Read More

TBS YAPOKEA CHETI CHA UMAHIRI KUTOKA SADCAS

SERIKALI imedhamiria kujenga misingi shindani na endelevu yenye ubora wa utoaji wa huduma wenye kuwezesha biashara nchini kwa kuzingatia jiografia na rasilimali watu kwa kupitia sera mikakati na mipango shindani na shirikishi. Ameyasema hayo jana Desemba 6, 2024 Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdalah wakati wa hafla fupi ya kupokea Cheti cha…

Read More

Kiama chaja kwa madereva wa Serikali

Mbeya. Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Mbeya, limetakiwa kuwafungia leseni madereva wa magari ya Serikali wanaokiuka sheria za usalama barabarani. Pia, limekumbushwa kuimarisha doria maeneo yote ya mkoa huo na kutoa elimu kwa madereva na watumiaji wa barabara kuhakikisha wanazuia ajali zisizo za lazima. Akizungumza leo Desemba 7, 2024 wakati wa kilele…

Read More

Sera pendekezwa ya jinsia kwa vyama vya siasa yazinduliwa 

Unguja. Ili kuweka usawa wa kijinsia katika nyanja mbalimbali ndani ya vyama vya siasa Zanzibar, imezinduliwa sera ya jinsia ya mfano, inayopendekezwa kwa vyama vya siasa. Pia umezinduliwa muundo unaopendekezwa wa dawati la jinsia kwa vyama vya siasa visiwani humo. Miongoni mwa mambo yanayosisitizwa katika sera hiyo ni muhimu kwa kila chama cha siasa kuwa…

Read More

Mzee Mallya azikwa, chuki na visasi vyatajwa mazishini

Moshi. Mzee Isaac Malya (72), aliyeuawa kwa kupigwa na kitu kizito nyumbani kwake, amezikwa,  huku Paroko wa Parokia Teule ya Kifuni, Padre Thomas Tingo akionya jamii kuacha roho za chuki na visasi, akisema zimekuwa chanzo cha mauaji yanayotikisa familia na taifa kwa ujumla. Mzee Malya amezikwa leo, Desemba 7, 2024 nyumbani kwake Kibosho Umbwe Onana,…

Read More

Utata kifo cha mfamasia hospitali ya Temeke

Dar es Salaam. Utata umeibuka kuhusu kifo cha aliyekuwa mfamasia katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Temeke, Magdalena Kaduma. Taarifa kuhusu kifo chake zimetolewa leo Desemba 7, 2024 na Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo, Dk Joseph Kimaro, bila kuelezo zaidi kuhusu sababu za kifo hicho. “Menejimenti na uongozi wa hospitali unatoa pole kwa ndugu,…

Read More

Usafiri mwishoni mwa mwaka, changamoto na fursa

Dar es Salaam. Mwishoni mwa mwaka hushuhudiwa mabadiliko makubwa katika mifumo ya usafiri kutokana na ongezeko la watu wanaosafiri kwa ajili ya shughuli za sikukuu, familia na biashara. Kipindi hiki cha msimu wa sikukuu kimekuwa na athari nyingi kwa usafiri wa umma na binafsi, ikiwemo ukosefu wa usafiri wa umma wa kutosha na kuongezeka kwa…

Read More

Watimua mbio, baada ya kufutiwa kesi na DPP

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewafutia kesi na kuwaachia huru watu 10 wakiwemo wafanyakazi wa benki ya NBC na Habib African, waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka ya kuchepusha fedha na kuisababisha hasara Wakala wa Ndege wa Serikali ya Tanzania (TGFA) kiasi cha Sh2.16bilioni. Washtakiwa hao wamefutiwa kesi hiyo na kuachiwa huru, baada ya…

Read More