Mama Asimwe akabidhiwa nyumba na UVCCM Kagera

Muleba. Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Kagera umemkabidhi nyumba yenye thamani ya Sh12 milioni, mama mzazi wa marehemu mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novath aliyeuawa na kunyofolewa baadhi ya viungo vyake. UVCCM mkoani humo waliahidi kumjengea nyumba mama huyo, Judith Richard baada ya kukumbwa na tukio la kuuawa kwa mwanaye, Asimwe,…

Read More

Tanzania, Kenya sasa kufanya biashara ya umeme

Dar es Salaam. Siku tatu zijazo nchi za Kenya na Tanzania zitaweza kufanya biashara ya umeme baada ya kuwashwa kwa njia ya msongo wa kilovoti 400 inayounganisha mataifa hayo mawili vinara kiuchumi ndani ya ukanda wa Afrika Mashariki. Hatua inayotarajiwa kuongeza juhudi za kupunguza mgao wa umeme na kukabiliana na hitilafu za umeme baina ya…

Read More

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa laongeza mapambano ya kimataifa dhidi ya biashara haramu ya mabaki ya kitamaduni – Masuala ya Ulimwenguni

Likiungwa mkono na zaidi ya mataifa 140 na kupitishwa bila kura, azimio hilo lilitambua kwamba kushughulikia biashara haramu ya bidhaa hizo ni muhimu ili kuhifadhi utambulisho na mila za jamii duniani kote na kuziwezesha kufanya mazoezi kwa uhuru na kulinda urithi wa thamani. Pia ilikubali athari mbaya za usafirishaji haramu kwenye turathi za kitamaduni kwa…

Read More

Waitwa kuchangia ufadhili wa masomo fani ya urubani

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikiendelea kufanyia maboresho usafiri wa anga kwa kuongeza ndege na kutengeneza miundombinu wezeshi, wito umetolewa kwa wadau wa sekta hiyo kuchangia mfuko utakaowezesha kusomesha vijana wa Kitanzania ili kuondoa utegemezi wa wageni. Inaelezwa kuwa kwa sasa kuna Watanzania wachache wanaohudumu kwenye fani za urubani na uhandisi wa ndege, hali inayotoa…

Read More

Waziri Aweso anadi miradi ya maji Korea

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, katika mwendelezo wa ziara yako nchini Korea Kusini ametembelea na kufanya mazungumzo na Benki ya EXIM ya Korea ambayo imefadhili utekelezaji wa miradi ya Majitaka nchini Tanzania yenye jumla ya Dola za Kimarekani Milioni 248.3 (Mkoa wa Dar es Salaam 90 $US milioni, Dodoma 70…

Read More

Polisi waja na mapya kushambuliwa  kwa maofisa TRA

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam limesema halitawavumilia watu wanaotaka kujenga tabia ya kuwashambulia watumishi wa Serikali wakati wanapotekeleza majukumu yao kisheria. Kamanda wa Polisi wa kanda hiyo, Jumanne Muliro amesema licha ya watumishi wa Serikali kufuata taratibu za kiutendaji, bado kuna tabia inataka kujengeka “ya watu kutaka kuwashambulia kwa…

Read More