CCM Z’BAR YAMPONGEZA DK.MWINYI.

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar. Chama Cha Mapinduzi Zanzibar (CCM) kimempongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi, kwa kutunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu na Chuo Kikuu cha Zanzibar. Pongezi hizo zimetolewa na Katibu wa Kamati Maalum ya NEC, Idara ya Itikadi, Uenezi na Mafunzo ya CCM Zanzibar, Khamis Mbeto…

Read More

Ushindi Namungo wampa nguvu Mgunda

USHINDI mtamu buana asikuambie mtu. Saa chache baada ya Namungo kupata ushindi wa mabao 2-1 na kutinga hatua ya 32 Bora ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Tanesco, kocha wa timu hiyo, Juma Mgunda amesema anaona mwanga mkubwa wakati akijiandaa kukabiliana na Kagera Sugar katika mechi ya Ligi Kuu. Namungo ilipata ushindi huo kwenye Uwanja…

Read More

Serikali yaahidi ushirikiano na sekta binafsi, kutatua changamoto

Na Mwandishi Wetu, Mwananchi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, amesema serikali itaendelea kushirikiana na wafanyabiashara na wawekezaji kutatua changamoto mbalimbali zinazokwamisha ustawi na maendeleo ya biashara nchini. Wataalam kutoka taasisi mbalimbali walioshiriki mjadala katika Kongamano la biashara na uwekezaji baina ya serikali na sekta binafsi akiwemo Mkurugenzi wa Usalama na…

Read More

Usiku wa heshima kwa Yanga Algeria

Dar es Salaam. Ikifika saa 4 usiku leo, wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika Yanga watakuwa uwanjani kuvaana na MC Alger mchezo utakaochezwa Uwanja wa 5 July 1962. Ni mchezo wa kujiuliza kwa Yanga inayonolewa na Kocha Mjerumani, Sead Ramovic ambaye ataiongoza timu hiyo kwa mara ya tatu tangu atambulishwe Novemba…

Read More

Matola kusimama kizimbani kesi ya Shilton na wenzake

Mashahidi 30 akiwemo, Kocha Seleman Matola (45) wanatarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroini zenye uzito kilo 34.89 inayomkabili mmiliki wa kituo cha Cambiasso Sport Academy, Kambi Seif na wenzake watano. Hayo yamebainishwa na Jamhuri baada ya kuwasomea washtakiwa hao orodha ya mashahidi na vielelezo, na kisha kesi hiyo…

Read More