Matola kusimama kizimbani kesi ya Cambiaso na wenzake

Mashahidi 30 akiwemo, Kocha Seleman Matola (45) wanatarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroini zenye uzito kilo 34.89 inayomkabili mmiliki wa kituo cha Cambiasso Sport Academy, Kambi Seif na wenzake watano. Hayo yamebainishwa na Jamhuri baada ya kuwasomea washtakiwa hao orodha ya mashahidi na vielelezo, na kisha kesi hiyo…

Read More

SHIRIKA LA ACTIONAID TANZANIA LAJA NA MKAKATI KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA

Shirika lisilo la Kiserikali la Actionaid Tanzania kupitia Mradi wa TIF (Transformative Impact Fund) katika kuelekea maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa Kijinsia limeendesha kampeni yenye lengo la kutoa elimu kwa jamii kuendeleza kilimo kinachostahimili mabadiliko ya tabia nchi (Kilimo ikolojia) kwa wakulima wadogowadogo hasahasa wanawake na vijana. Akizungumza na Wananchi mbalimbali Disemba…

Read More

Mabao 10 yanayomtesa Najim Singida

KIWANGO bora kinachoonyeshwa na baadhi ya viungo wa Singida Black Stars waliochangia mabao 10 kati ya 16 ya timu nzima, yanamtesa kiungo nyota wa kikosi hicho, Najim Mussa ambaye amekuwa akisotea benchi licha ya uwezo mkubwa aliokuwa nao. Nyota huyo aliyejiunga na Singida msimu huu akitokea Tabora United, mambo yamekuwa tofauti kwake kwani hadi sasa…

Read More

Mwambusi sasa auma meno mapema

KOCHA wa Coastal Union, Juma Mwambusi ameamua kufunga ukimya na kuweka mikakati kwa ajili ya msimu huu ili kuhakikisha kwamba anapambania nafasi ya ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Coastal ina kumbukumbu nzuri ya kushika nafasi ya nne msimu uliopita chini ya kocha David Ouma na kupata nafasi ya kushiriki Kombe la Shirikisho Afrika ilikotolewa raundi…

Read More

Ken Gold inatia huruma, yatolewa Shirikisho

Ken Gold imekuwa timu ya kwanza Ligi Kuu Bara kutolewa kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho baada ya kufungwa penalti 4-3 na Mambali Ushirikiano kufuatia dakika 90 zilizomalizika kwa sare ya bao 1-1. Mambali Ushirikiano inashiriki Ligi Daraja la Tatu Mkoa wa Tabora ambapo inaweka rekodi tamu ya kuiondoa timu ya Ligi Kuu katika hatua…

Read More

Jumamosi ya kutusua na Meridianbet imefika

Je unajua kuwa Jumamosi ya leo ni rahisi sana kupuna mpunga wako ukiwa na Meridianbet kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yanapatikana hapa. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa. Ligi pendwa Duniani, EPL leo hii kuna mechi za kukata na shoka ambapo bingwa mtetezi Manchester City baada ya kushinda mechi yake iliyopita,…

Read More

Bulls Eye Bells inakupa bonasi na Jackpot kubwa

Tunakuletea safari ya kasino mtandaoni ya kusisimua sana ambayo imejaa bonasi za kasini za kumwaga. Jukumu lako ni kukusanya ushindi kadri iwezekanavyo, na ukifanikiwa, hautakosa mafanikio ya ajabu. Jisajili hapa ili usipitwe na mchezo huu. Bulls Eye Bells ni mchezo wa kasino ya mtandaoni unaoletwa kwenu na mtengenezaji wa michezo wa Playtech. Katika mchezo huu,…

Read More

Utengenezaji na hazina zingine za kitaifa hufanya orodha ya hivi punde ya urithi wa UNESCO – Masuala ya Ulimwenguni

The UNESCO kamati inayolinda kile kiitwacho Turathi za Utamaduni Zisizogusika inakutana Asunción, Jamhuri ya Paraguay, hadi Jumamosi, ili kuongeza maingizo mapya kwenye shirika la utamaduni la Umoja wa Mataifa. orodha ya hazina za dunia. Na zaidi ya maandishi 700 hadi sasa, Mkataba kwa ajili ya Kulinda Turathi za Utamaduni Zisizogusika inalenga kuongeza uelewa katika ngazi…

Read More

WADAU WAASWA KUIMARISHA AFYA NA HAKI ZA UZAZI KWA VIJANA

Wakizungumza katika kongamano la kitaifa la afya ya uzazi kwa vijana, Dr. Felix Bundala, Mkurugenzi wa Huduma za Afya ya Watoto Watoto na Vijana katika Wizara ya Afya, na Dr. Dinah Mbaga kutoka Women Fund Trust (WFT), wamehimiza wadau kuongeza juhudi za kuwafikia vijana na kupambana na changamoto zinazowakabili. Dr. Felix Bundala alisema, “Tunapozungumzia vijana,…

Read More