Mbowe kutoa msimamo uchaguzi wa serikali za mitaa

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe anatarajia kutoa msimamo wa chama hicho kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji 2024 siku ya Jumanne Disemba 10, 2024 makao makuu ya chama Mikocheni, Dar es Salaam Msimamo huo unakuja kufuatia vikao vya kamati kuu ya chama hicho vilivyoketi tangu wiki iliyopita kupitia mitandao…

Read More

Kocha Matola kutoa ushahidi kesi ya Muharami, wenzake

Dar es Saalam. Mashahidi 30 akiwemo, Kocha Seleman Matola (45) wanatarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroini zenye uzito kilo 34.89 inayomkabili mmiliki wa kituo cha Cambiasso Sport Academy, Kambi Seif na wenzake watano. Hayo yamebainishwa na Jamhuri baada ya kuwasomea washtakiwa hao orodha ya mashahidi na vielelezo, na…

Read More

DKT. NCHEMBA ASISITIZA TAFITI KUIMARISHA UCHUMI

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bw. Elijah Mwandumbya, akimtunuku mwanafunzi pekee aliyehitimu Shahada ya Uzamili ya Mipango Ufutiliaji na Tathmini Bw. Joseph Ochora, katika Mahafali ya 38 ya Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini, duru ya pili Kituo cha Mafunzo cha Kanda ya Ziwa, Kisesa Mwanza, yaliyofanyika kwa mara ya 12 katika Kituo hicho. …

Read More

WACHIMBAJI WA MADINI WAHIMIZWA KULIPA KODI YA SERIKALI

📍Longido,Arusha Naibu Waziri wa Madini Mhe. Dkt. Steven Kiruswa ametatua mgogoro wa wachimbaji wadogo wa Madini ya Ruby Wilaya ya Longido Mkoani Arusha uliodumu zaidi ya miaka mitano kati ya Kampuni ya Paradiso Mineral (T) Limited na Mzee Malulu Ole Moringo kwa Kampuni hiyo kukubali kumlipa fidia Mzee Malulu Ole Moringo ya jumla ya shillingi…

Read More

Wanne mbaroni kwa mauaji ya mtumishi wa TRA

  JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linawashikilia watuhumiwa wanne kwa kosa la mauaji ya Afisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Amani Kamguna Simbayao  kilichotokea baada ya kushambuliaji wa raia maeneo ya Tegeta kwa Ndevu jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Taarifa iliyotolewa leo na Taarifa…

Read More

TRC waongeza ratiba za treni mikoa ya kaskazini

Dar es Salaam. Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeongeza safari za treni kuelekea mikoa ya Kaskazini Tanga, Kilimanjaro na Arusha, kutoka safari mbili kwa wiki hadi tatu, huku likitangaza gharama za nauli zitakazotumika. Kwa mujibu wa  taarifa kwa umma iliyotolewa leo Desemba 7, 2024 na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano TRC, Fredy Mwanjala,  safari zitakuwa…

Read More

HALMASHAURI ZENYE MIRADI ZIHAMASISHE WANANCHI KUITUMIA

  Naibu Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Afya) Dkt. Festo Dugange akizungumza na wananchi (hawapo pichani) katika Ukumbi wa Nazareti Manispaa ya sumbawanga, wakati wa hafla ya utiaji saini mkataba wa ujenzi wa soko kuu la mazao ya nafaka ambalo litajengwa eneo la Kanondo kupitia fedha za mradi wa TACTIC. Baadhi ya wananchi wa Sumbawanga wakimsikiliza…

Read More