Wanne wakamatwa kwa tuhuma za mauaji ya ofisa TRA

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam, linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya dereva la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Iman Simbayao aliyefariki dunia jana Ijumaa Disemba 6, 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH). Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam, Kamanda Jumanne Muliro…

Read More

POLISI ARUSHA WATOA MSAADA KWA WAFUNGWA GEREZANI.

Na. Mwandishi wetu Jeshi la Polisi. Mtandao wa Polisi Polisi Wanawake Mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na dawati la Jinsia na watoto katika kuelekea kilele cha siku 16 za kupinga ukatili, leo wametoa msaada wa vitu mbalimbali kwa wafungwa na mahabusu wanawake walioko katika gereza Kuu Arusha. Akikabidhi msaada huo Mkuu wa Polisi Wilaya ya…

Read More

‘Vifo magonjwa yasiyoambukiza vyapunguza umri wa kuishi’

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Serikali imesema kasi ya vifo vitokanavyo na magonjwa yasiyoambukiza inazidi kuongezeka hali inayosababisha Watanzania wengi kushindwa kufikia umri wa miaka 66 ambao ni wastani wa kuishi. Takwimu zinaonyesha vifo vingi vinasababishwa na magonjwa ya Shinikizo la juu la damu, saratani, kisukari, afya ya akili na ajali mbalimbali. Akizungumza Desemba 6,2024…

Read More

Machozi ya furaha watoto wa jiji la Argentina wanapokumbana na asili kwa mara ya kwanza – Masuala ya Ulimwenguni

Ana Di Pangracio anafanya kazi katika shirika la kiraia la Fundación Ambiente y Recursos Naturales au FARN ambalo linahusika katika miradi ya kurejesha ardhi iliyoharibiwa nchini Ajentina. Aliongea na Habari za Umoja wa Mataifa mjini Riyadh, Saudi Arabia, ambako alikuwa akihudhuria mkutano wa Umoja wa Mataifa (COP16) ililenga kuenea kwa jangwa, ukame na kurejesha ardhi….

Read More

Azam, Singida zaanza msako wa tiketi ya CAF

VINARA wa msimamo wa Ligi Kuu Bara, Azam FC pamoja na Singida Black Stars wanatarajia kushuka uwanjani jioni ya leo kuanza msako wa tiketi ya michuano ya kimataifa ya CAF kwa msimu ujao watakapocheza mechi za hatua ya 64 Bora ya Kombe la Shirikisho kwenye viwanja viwili tofauti. Timu hizo zinazoongozwa na nyota wanaokimbiza katika…

Read More

Kasongo aanika ukweli ishu ya Mnguto Bodi ya Ligi

OFISA Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi (TPLB), Almas Kasongo amevunja ukimya na kutoa ufafanuzi juu ya nafasi ya mwenyekiti wa bodi hiyo, Steven Mguto ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Coastal Union. Mguto kwa sasa sio miongoni mwa wagombea 17 waliojitokeza kuwania nafasi katika uchaguzi mkuu wa klabu hiyo ya Coastal kwa vikle hakugombea…

Read More