Fei Toto aanika silaha hadharani, Aucho atoa neno

KIUNGO wa Yanga, Khalid Aucho amefunguka akikiri kuwa mziki wa Azam ndio unaowanyima raha kwa namna wanavyokutana na upinzani mkubwa, huku nyota wa zamani wa Jangwani anayekipiga Azam FC, Feisal Salum akianika silaha zake hadharani akikisitiza kiu ya kuzinasa Simba na Yanga katika Ligi Kuu. Fei ameendelea kuboresha rekodi katika ligi tangu akiwa na Azam,…

Read More

Maxi, Musonda wakoleza mzuka Yanga

WAKATI kipa Diarra Djigui, Clatous Chama na Yao Kouassi wakiwekwa chini ya uangalizi maalumu wa kitabibu, nyota wawili wa Yanga, Maxi Nzengeli na Kennedy Musonda wamekoleza mzuka kwa kuanza kujifua mazoezini na wenzao wakitoka kuwa majeruhi na kukosa mechi tatu mfululizo za Ligi Kuu. Nyota hao wa kigeni sambamba na Aziz Andambwile walikuwa sehemu ya…

Read More

Wazazi tusherehekee ila tusijisahau kuna mahitaji ya shule

Kila mwaka, msimu wa sikukuu huja na shamrashamra nyingi, zawadi, sherehe na hamasa ya kusherehekea kwa familia. Hata hivyo, msimu huu pia huja na changamoto za kifedha kwa wazazi wengi, hasa wanapojisahau katika matumizi na kusahau kwamba Januari inasubiri na majukumu mazito ya kifedha, yakiwemo ada za shule, sare, vitabu, na mahitaji mengine ya msingi…

Read More

Ajali ya ndege yaua 85 Korea Kusini

Korea Kusini. Zaidi ya watu 85 wanahofiwa kufariki katika ajali ya ndege ya Kampuni ya Jeju iliyotokea uwanja wa ndege wa Jiji la Muan nchini Korea Kusini.  Kwa mujibu wa Al Jazeera, ajali ya ndege hiyo iliyokuwa imebeba abiria 175 na wahudumu sita imetokea Saa 6:03 usiku wa kuamkia leo Jumapili, ilipokuwa ikitua katika uwanja…

Read More

Afisa wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen asimulia matokeo ya shambulio la anga la Israel kwenye uwanja wa ndege wa kiraia – Global Issues

Tarehe 26 Disemba, vikosi vya Israel vilishambulia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sana'a, bandari za Bahari Nyekundu na vituo vya umeme. Tedros alikuwa kwenye uwanja wa ndege wakati ulipogongwa, pamoja na Bw. Harneis na wanachama wengine wa chama cha Umoja wa Mataifa wanaojadili kuachiliwa kwa wafanyakazi kadhaa wa Umoja wa Mataifa waliokuwa wametekwa na…

Read More

Waha na chimbuko  Kijiji cha Makumbusho Dar

Kijiji cha Makumbusho kimekuwa moja ya vivutio vya utalii wa ndani jijini Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla. Kijiji hicho chenye ukubwa wa ekari 15 kipo maeneo ya  Makumbusho jijini humo kilianzishwa mwaka 1966,  ikiwa ni wazo la Mwalimu Julius Nyerere. Wazo la kuanzisha lilimjia baada ya watu wa kabila la Waha kujenga mfano…

Read More