TACTIC KUONGEZA THAMANI YA MAZAO KWA WAKULIMA WA RUKWA

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Dkt. Festo Dugange(Mb) amesema ujenzj wa soko kuu la mazao ya nafaka eneo la Kanondo Wilayani Sumbawanga Mkoani Rukwa ni Mkombozi wa wakulima kwani Soko hilo litaongeza thamani ya mazao na kukuza mzunguko wa fedha mkoani humo. Mheshimiwa Dkt Dugange…

Read More

WAKANDARASI WAZEMBE,WANAOCHELEWESHA MIRADI WABANWE -RC KUNENGE

  Mwamvua Mwinyi, Pwani  6,disemba,2024 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameitaka Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Pwani kuchukua hatua za kisheria dhidi ya wakandarasi wanaokiuka mikataba ya ujenzi kwa kuchelewesha miradi. Kunenge alitoa agizo hilo ,wakati wa kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa kilichofanyika Kibaha, akisisitiza umuhimu wa kuhakikisha miradi inatekelezwa…

Read More

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Aahidi Kuboresha Sekta ya Sheria kwa Kutoa Dira kwa Wanasheria Nchini

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, ametoa ahadi ya kutoa mwelekeo kwa wanasheria wote nchini ili kuhakikisha wanatoa huduma za sheria serikalini kwa ufanisi, weledi, na ubora kwa kuzingatia mabadiliko ya kiuchumi, kisiasa,teknolojia,tamaduni na hata kimazingira. Ameyasema hayo hayo leo Desemba 6, 2024 Jijini Dodoma katika Kikao chake na wakurugenzi…

Read More

ASKARI WANAWAKE CHALINZE WAZURU GEREZA LA KIGONGONI

  Na Mwamvua Mwinyi, Chalinze 5, Disemba,2024 Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kipolisi Chalinze, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Sophia Lydenge, ameongoza askari wa kike wa wilaya hiyo kutoa msaada kwa wafungwa wanawake wanaotumikia adhabu ya kifungo kwa makosa mbalimbali katika Gereza la Kilimo Kigongoni, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani. Akizungumza wakati wa tukio…

Read More

Chuo Kikuu Kairuki chapigia chapuo matibabu kidijitali

  Na Mwandishi Wetu SPIKA mstaafu Anne Makinda ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kairuki amependekeza zifanyike tafiti kujua sababu za watoto wengi wa kiume kuachwa nyuma kitaaluma na wenzao wa kike. Aliyasema hayo jana wakati wa kongamano la sita kitaaluma lililoandaliwa na chuo hicho kujadili namna sekta ya afya inaavyoweza kufanya mabadiliko…

Read More

Rais kutwaa ardhi Dar es Salaam

Dodoma. Serikali imetangaza kusudio la kutwaa eneo la mita za mraba 233,000 katika Manispaa za Kinondoni na Ubungo jijini Dar es Salaam. Eneo hilo imeelezwa litatumika kwa ajili ya hifadhi  ya Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart). Tangazo la kusudio la kutwaliwa eneo hilo limetolewa Novemba 6, 2024 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo…

Read More