Kabudi awafunda mawakili wa Serikali

Dodoma. Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Paramagamba Kabudi ameeleza changamoto tano walizoziona kwa upande wa sheria kwa kipindi cha miaka saba akiwa kwenye timu maalumu ya majadiliano ya Rais kwenye upande wa sheria na uandikaji wa mikataba ya kimataifa. Profesa Kabudi ameeleza hayo leo Ijumaa, Desemba 6, 2024 wakati akifungua kikao kazi cha Wanasheria…

Read More

POLISI WAITA WANAUME ‘WANAOPIGWA’ NA WAKE ZAO

  Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Ilala, Yustino Mgonja (wa pili kulia) akiongoza maandamano ya amani ya askari na wanafunzi wa shule za msingi yakilenga kuunga mkono juhudi za Serikali na jamii kupinga ukatili wa kijinsia. Baadhi ya askari Mkoa wa Kipolisi Ilala, wakiwa katika maandamano ya amani yaliolenga kuunga mkono juhudi za Serikali…

Read More

KINONDONI YAZINDUA KAMPENI YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA,YATAJA WALIOFUNGWA MAISHA KWA MAKOSA YA UKATILI.

Na. Mwandishi Jeshi la Polisi Kinondoni Dar es salaam. Jeshi la Polisi Mkoa wa kipolisi Kinondoni umefanya uzinduzi wa Kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia ambao umebeba kauli mbiu isemayo Kuelekea Miaka thelathini ya Beijing Chagua kutokomeza Ukatili wa Kijinsia. Akizindua kampeni hiyo leo Disemba 06, 2024 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni…

Read More

Lissu kumvaa Mbowe uenyekiti Chadema

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu anatajwa kuwania uenyekiti wa Taifa wa chama hicho, katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mapema mwakani, Mwananchi imejulishwa. Nafasi hiyo imeshikiliwa na Freeman Mbowe tangu mwaka 2004 akimrithi Bob Makani aliyeshika usukani kutoka kwa Edwin Mtei. Mbowe sawa na Makani na Mtei,  ni miongoni mwa waanzilishi wa…

Read More

Ufaransa yaipatia Tanzania Sh bilioni 323.4

Na Mwandishi Wetu Serikali ya Tanzania na Shirika la Maendeleo La Ufaransa (AFD) wamesaini mikataba minne (4) yenye jumla ya euro milioni 118.8 sawa na Sh bilioni 323.4 kwa ajili kutekeleza miradi mbalimbali nchini ikiwemo Awamu ya Pili ya mradi wa nishati jua wa Kishapu mkoani Shinyanga, uendelezaji wa misitu na utunzaji wa hifadhi ya…

Read More