Ufaransa kuikopesha Tanzania zaidi ya Sh300 bilioni

Dar es Salaam. Tanzania imesaini mikataba minne ya mkopo nafuu na msaada wa jumla ya Sh327.9 bilioni kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali, ikiwemo awamu ya pili ya uzalishaji umeme wa jua wilayani Kishapu. Kati ya fedha hizo, Sh8.281 bilioni ni msaada kwa ajili ya kufadhili mpango kazi wa Jinsia wa Shirika la Umeme…

Read More

UFARANSA YAIPATIA TANZANIA SHILINGI BILIONI 323.4 KUTEKELEZA MIRADI YA HIFADHI YA MISITU NA NISHATI YA UMEME

Na Farida Ramadhani,WF, Dar es Salaam Serikali ya Tanzania na Shirika la Maendeleo La Ufaransa (AFD) wamesaini mikataba minne (4) yenye jumla ya euro milioni 118.8 sawa na takriben shilingi bilioni 323.4 kwa ajili kutekeleza miradi mbalimbali nchini ikiwemo Awamu ya Pili ya mradi wa nishati jua wa Kishapu Mkoani Shinyanga, pamoja na uendelezaji wa…

Read More

Majeruhi TZ Prisons wamliza Makatta

KOCHA wa Tanzania Prisons, Mbwana Makatta aliyeishuhudia timu hiyo ikimaliza ikiwa pungufu uwanjani mbele ya Kagera Sugar ikitoka suluhu kwenye Uwanja wa Kaitaba, Bukoba amesema idadi ya majeruhi imechangania kuwa na mwendeno mbovu Ligi Kuu. Prisons iliyopo nafasi ya 12 ikiwa na pointi 11 kupitia mechi 13 ikishinda miwili, sare tano na kupoteza sita sawa…

Read More

Waliotaka kumteka Tarimo waburuzwa kortini

  WATUHUMIWA sita wamefikishwa katika Mahakama Hakimu Mkazi Kivukoni iliyopo Kinondoni kwa kosa la kutaka kumteka mfanyabiashara Deogratius Tarimo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Watuhumiwa ni pamoja na:- Bato Bahati Tweve, Nelson Elmusa, Anitha Alfred Temba, Isaack Mwaifuani, Fredrick Juma Msatu na Benki Daniel Mwakalebela. Akiwasomea shtaka moja kwa watuhimiwa hao wakili…

Read More

Wanawake 300 waliopata majeraha makubwa ya ukatili, ajali warejeshewa tabasamu

Dar es Salaam. Kwa takribani miaka tisa wanawake zaidi ya 300 waliopata changamoto ya kukakamaa sehemu mbalimbali za mwili au kupata majeraha makubwa yaliyosababishwa na vitendo vya ukatili, ajali au maradhi mbalimbali wamerejeshewa tabasamu baada ya kufanyiwa bure upasuaji rekebishi katika hospitali ya Aga Khan. Kwa mwaka 2024 pekee wanawake 27 wamefanikiwa kupata huduma hiyo…

Read More

𝐓𝐀𝐈𝐅𝐀 𝐇𝐀𝐋𝐈𝐖𝐄𝐙𝐈 𝐊𝐔𝐒𝐓𝐀𝐖𝐈 𝐊𝐈𝐔𝐂𝐇𝐔𝐌𝐈 𝐁𝐈𝐋𝐀 𝐌𝐀𝐅𝐔𝐍𝐃𝐈 𝐒𝐀𝐍𝐈𝐅𝐔, 𝐖𝐀𝐍𝐀𝐒𝐀𝐘𝐀𝐍𝐒𝐈 𝐍𝐀 𝐖𝐀𝐇𝐀𝐍𝐃𝐈𝐒𝐈 – 𝐏𝐑𝐎𝐅. 𝐌𝐔𝐒𝐇𝐈

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Daniel Mushi, amesema Serikali inathamini mchango mkubwa wa wanasayansi, wahandisi, watafiti na wabunifu katika kufikia azma ya kuwa nchi ya uchumi wa viwanda. Prof. Mushi ametoa kauli hiyo leo Disemba 06, 2024 jijini Dar es Salaam akihutubia katika mahafali ya 18 ya Taasisi ya Teknolojia…

Read More

Saliboko apiga hesabu kali Bara

MSHAMBULIAJI wa KMC, Daruweshi Saliboko amesema Ligi Kuu Bara imechangamka hasa eneo la ufungaji mabao, jambo linalompa nguvu kuona nafasi ya kuwania kiatu cha ufungaji bora ipo wazi msimu huu. Saliboko aliyemaliza na mabao manne na asisti tatu msimu uliopita, alisema akimtazama kinara wa mabao sita ambaye ni Selemani Mwalimu wa Fountain Gate anaamini hawajapishana…

Read More

Sita kizimbani kwa jaribio la kumteka mfanyabiashara Tarimo

Dar es Salaam. Watu sita Wakazi wa jijini hapa wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni iliyopo Kinondoni, wakikabiliwa na shtaka la kujaribu kumteka mfanyabiashara Deogratius Tarimo. Washtakiwa hao waliopandishwa kizimbani ni pamoja na Fredrick Juma Said mjasiriamali, Isack Mwaifani, Benki Mwakalebela, Mkazi wa Mbezi Makabe na wakala stendi ya Magufuli;  Bato Bahati Tweze…

Read More