SHILATU AIPONGEZA LIBOBE KWA MAFANIKIO KIELIMU

Na Mwandishi wetu, Mpapura Afisa Tarafa Mpapura Emmanuel Shilatu amewapongeza Walimu, Wanafunzi na Wazazi kwa jitihada kubwa wanazoweka zinazopelekea kupata mafanikio makubwa ya ufaulu. Pongezi hizo Shilatu ambaye alikuwa Mgeni rasmi amezitoa wakati akizungumza kwenye Mahafali 16 ya kidato Cha nne Shule ya Sekondari ya Libobe iliyopo Kata ya Libobe, Tarafa ya Mpapura mkoani Mtwara…

Read More

ARWFA yapania makubwa soka la wanawake Arachuga

CHAMA Cha Soka la Wanawake Mkoa wa Arusha (ARWFA) linaendelea na mikakati ya kuhakikisha wanainyanyua tena mchezo huo kuanzia ngazi ya chini wakiamini itasaidia tena kupata timu ya Ligi Kuu. Arusha imewahi kuwa timu mbili za Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), ambazo ni Tanzanite Queens iliyokuja kuuzwa Dodoma mwaka 2020 na kuwa Fountain Gate Queens…

Read More

Sababu tatu zachangia kuua mamia ya vichanga Mwanza

Mwanza. Zaidi ya watoto wachanga 1,452 walifariki dunia mwaka 2023 mkoani Mwanza huku sababu ya kukosa hewa na maambukizi, zikitajwa kuchangia vifo hivyo. Akizungumza Novemba 5, 2024 wakati wa uzinduzi wa programu ya utoaji huduma za afya kwa watoto wachanga (NEST360) katika halmashauri tano za Mkoa wa Mwanza, Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa huo, Dk…

Read More

Kagoma aibuka, avunja ukimya ishu ya Simba

YUSUPH Kagoma ndilo jina linalotajwa sana kwenye mitandao ya kijamii hivi sasa na hii ni baada ya staa huyo wa Simba kufuta utambulisho wake na timu hiyo kwenye mtandao wake wa kijamii ‘Instagram’. Sakata hilo limeenda sambamba na kuachwa Dar es Salaam wakati Simba ikiondoka nchini Jumatano alfajiri kwenda nchini Algeria kwa ajili ya mchezo…

Read More

Polisi wamshikilia dereva aliyepiga kelele ya kutekwa Tegeta

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi linamshikilia dereva aliyepiga kelele akidai anatekwa kwenye tukio lililosababisha wananchi kuwajeruhi watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Tukio hilo lilitokana na maofisa hao kulizuia gari alilokuwa anaendesha, “Kwa ajili ya ukaguzi wa magari yaliyoingia nchini bila kulipiwa kodi.” Kwa mujibu wa TRA, gari hilo aina ya BMW x6…

Read More

MANDONGA AREJEA NA NGUMI YA KIBERENGE MULEBA

BONDIA wa ngumi za kulipwa, Abdallah Pazi ‘Dullah Mbabe’ amemtangazia vita mpinzani wake ajipange kuelekea pambano katika pambano la ‘Tagi la Mama Samia’ litakalofanyika Desemba 26 mjini Muleba mkoani Kagera. Dullah Mbabe atapanda ulingoni kuzichapa pambano kuu (Main Card) dhidi ya Maugo litakalochezwa raundi nane, uzito wa juu ( kilo 76) litakalofanyika Muleba Mkoani Kagera….

Read More

Yanga ilivyowapiga bao Waarabu | Mwanaspoti

Yanga itacheza mchezo wa pili wa makundi ya Klabu Bingwa Afrika kesho Desemba 7, 2024 dhidi ya MC Alger kwenye uwanja wa Julai5, 1962 huku ikipewa nafasi kubwa ya kupata matokeo kutokana na takwimu mbaya za wapinzani wao wakiwa katika uwanja wa nyumbani. MC Alger imecheza michezo 10 ya Ligi ikiwa imeshinda mechi nne, imetoa…

Read More