Nyota wa zamani wa Spurs,  West Ham kusaka vipaji Bongo

MSHAMBULIAJI na nyota wa zamani wa klabu za West Ham United na Tottenham za England, Frédéric Kanouté anatazamiwa kuja nchini ili kusaidia kutafuta vipaji kupitia mashindano ya soka kwa Vijana Afrika Mashariki ambayo itafanyika jijini Arusha. Kanoute aliyewahi pia kutamba na Sevilla ya Hispania, Lyon ya Ufaransa na timu ya taifa ya Mali, akishinda tuzo za…

Read More

Kambi, Muharami na wenzao wadai kuteswa wakati wakihojiwa

Mshtakiwa wa kwanza katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroini, Kambi Zuber Seif na wenzake wamedai kuteswa na kudhalilishwa utu wao na Maofisa wa Polisi kutoka Mamlaka ya Kuthibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini(DCEA), baada ya kukamatwa. Kambi na wenzake watano, wanakabiliwa na  mashtaka nane yakiwemeo ya kuongoza genge na…

Read More

Vipaumbele vitano vya wananchi miaka 25 ijayo vyatajwa

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikitarajia kuzindua Rasimu ya kwanza ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 Desemba 11, 2024, matamanio na matarajio ya wananchi na wadau yamelala katika maeneo makubwa matano na sekta tano  za kufanyiwe kazi ipasavyo. Maeneo ambayo wanataka yafanyiwe kazi ni kujenga uchumi imara unaostawi na unaoboresha maisha yao, huduma bora…

Read More

Kambi, Muharami na wenzao wadai kuteswa wakati wakihojiwa.

Mshtakiwa wa kwanza katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroini, Kambi Zuber Seif na wenzake wamedai kuteswa na kudhalilishwa utu wao na Maofisa wa Polisi kutoka Mamlaka ya Kuthibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini(DCEA), baada ya kukamatwa. Kambi na wenzake watano, wanakabiliwa na  mashtaka nane yakiwemeo ya kuongoza genge na…

Read More

Hatimaye Mdude aachiwa kwa dhamana

Mbeya. Mwanaharakati na kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mdude Nyagali aliyekuwa ameshikiliwa na Jeshi la Polisi, ameachiwa kwa dhamana. Mdude alishikiliwa tangu Novemba 22 mkoani Songwe akiwa na viongozi wengine wa Chadema akiwamo Mwenyekiti wake Taifa, Freeman Mbowe na mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’. Baada ya kuhojiwa…

Read More

Boart Longyear yatoa msaada wa vifaa tiba kituo cha afya Lunguya wilayani Kahama

Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Lunguya kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Msalala  mkoani Shinyanga, Dk.Yohana Msumba (kulia), akipokea Baiskeli kwa ajili ya kubebea wagonjwa kutoka kwa Mwakilishi wa Kampuni ya Boart Longyear, Boniphace Mushongi wakati wa hafla fupi iliyofanyika mkoani humo juzi. KAMPUNI ya Boart Longyear inayofanya kazi na mgodi wa Barrick Bulyanhulu katika…

Read More

Mpango wa afya kusaidia wanawake wachuuzi kuzinduliwa

Dar es Salaam. Shirika la Tanzania Women Tapo, kwa kushirikiana na Hospitali ya Aga Khan Tanzania, linatarajia kuzindua kampeni ya afya kwa wanawake wachuuzi na wauzaji sokoni, mpango unaolenga kuwafikia takribani wanawake 31,000 katika mikoa yote 31 nchini. Mpango huo uliopewa jina la ‘Msafara wa kitaifa wa wauzaji wanawake wa ndani wa Mama Samia’, unaolenga…

Read More

Samatta aanza na asisti dk 90 za kwanza PAOK

BAADA ya kupita mwezi mmoja na siku sita bila ya nyota wa kitanzania na nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta kucheza akiwa na PAOK ya Ugiriki, hatimaye mkali huyo alipewa dakika 90 uwanjani wakati timu hiyo ikiibuka na ushindi wa 7-1 katika mechi ya hatua ya 16 Bora ya michuano ya Greek Cup Betsson. PAOK…

Read More