Rais Samia kuzindua Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua rasmi Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kati ya Mwezi Mei/Juni 2025 mara baada ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuijadili na kuidhinisha Rasimu ya Dira ya Maendeleo 2050. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Waziri wa Nchi…