Uongozi mpya Kariakoo wapatikana, watwishwa zigo

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wa Kariakoo wameutaka uongozi mpya kujenga umoja ili kuwasaidia wanapokutana na changamoto mbalimbali huku wakiwaonya kuacha tabia ya kupandisha mabega na au kujisahau kwani wapo kwenye nafasi hizo kwa ajili yao. Uongozi mpya utakaoongoza Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Kariakoo (JWK) kwa kipindi cha miaka mitatu umepatikana leo Alhamisi, Desemba 5, 2024…

Read More

Uchaguzi wafanyabiashara Kariakoo uliopisha uokoaji jengo lililoporomoka wafanyika

Dar es Salaam. Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo (JWK) jijini Dar es Salaam imefanya uchaguzi wa kuchagua viongozi wapya watakaoiongoza jumuiya hiyo kwa miaka mitatu ijayo. Nafasi zinazogombewa katika jumuiya hiyo ni mwenyekiti yenye wagombea wanne ambao ni Abas Abdul, Martin Mbwana anayetetea kiti chake, Severini Mushi na Fedrick Lutindi. Kwa upande wa makamu mwenyekiti wagombea…

Read More

Serikali yaeleza hatua iliyofikiwa ujenzi wa chuo cha Tehama

Dodoma. Serikali ya Tanzania imefikia makubaliano na Benki ya Korea (K-Exim Bank) kwa ajili ya ujenzi wa chuo cha umahiri wa Tehama kitakachojengwa Nala jijini Dodoma. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa ameyasema hayo leo, Alhamisi Desemba 5, 2024 wakati akielezea kuhusu ujenzi wa chuo hicho. Silaa amesema chuo hicho cha…

Read More

WAHITIMU CHUO KIKUU MZUMBE WAASWA KUTO KUCHAGUA KAZI

Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Dkt. Ali Mohamed Shein, akizungumza wakati wa Mahafali ya 23 ya Chuo Kikuu Mzumbe yaliyofanyika katika Kituo Cha Mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo Novemba 05, 2024. MKUU wa Chuo Kikuu Mzumbe, Dk. Ali Mohamed Shein, amewataka wahitimu wa chuo hicho kutochagua kazi wanapoingia katika soko la ajira,…

Read More