MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AANDAA KIKAO KAZI KUJADILI MASUALA YA KIUTENDAJI KATIKA UTOAJI HUDUMA ZA SHERIA SERIKALINI

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mwanasheria Mkuu wa Serikali aandaa kikao kazi kujadili masuala ya kiutendaji katika utoaji huduma za Sheria Serikalini. Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari ameyabainisha hayo jijini Dodoma katika mkutano na waandishi wa habari kuzungumzia kikao hicho kitakachofanyika kesho katika ukumbi wa jiji-Mtumba Mkoani humo. “kupitia kikao hicho pamoja…

Read More

RAIS MWINYI ATUNUKIWA SHAHADA YA HESHIMA ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Hussein Ali Mwinyi ametunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu ya Chuo Kikuu cha Zanzibar. Chuo Kikuu cha Zanzibar kimemtunuku Shahada hiyo ikiwa ni kutambua na kuthamini Mchango wa Uongozi wake Unaoacha Alama na historia itakayokumbukwa wakati wote. Hafla ya kutunukiwa Shahada hiyo imefanyika leo tarehe…

Read More

Tanzania kupambana kuenea kwa Jangwa

Na Mwandishi Maalum Serikali imejipambanua katika kupambana na kuenea kwa jangwa, kurejesha ardhi iliyoharibiwa pamoja na kujenga uwezo wa kukabiliana na ukame. Imesema pamoja na juhudi hizo, imehimiza hatua za pamoja za kisayansi na zinazoendeshwa na uvumbuzi ni muhimu ili kufikia mustakabali endelevu katika kukabiliana na ukame duniani. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais…

Read More

WIZARA YA MADINI INATAMBUA MCHANAGO WANAJIOSAYANSI KUFANIKISHA VISION 2030

Na Oscar Assenga,TANGA Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini Ndugu Msafiri Mbibo amesema wizara hiyo inatambua mchango wa wanajiosayansi katika Vision 2030 hivyo itaendelea kuwatuma kikamilifu ili kuwawezesha utekelezaji wa ndana hiyo. Mbibo aliyasema hayo Desemba 4,2024 Jijini Tanga wakati akifungua mkutano wa mwaka wa Wanajiosayansi kwa niaba ya Waziri wa Madini ambapo alisema wanajiosayansi…

Read More

Mkesha wa Shukrani ya Kuelekea Mwisho wa Mwaka

  Mwalimu wa Neno la Mungu Emanuel Shemdoe akizungumza katika kuelekea mkesha wa mwisho wa mwaka utaofanyika Desemba Mjini Dodoma. Na Mwandishi Wetu MKESHA wa dini mbalimbli dini unatoa nafasi ya kuomba kwa ajili ya nchi na watu wote ikiwa ni pamoja na kumshukuru Mungu kwa Kuingia mwisho wa mwaka. Mkesha huo utawapa watu kutafakari…

Read More