Wajiolojia wataka bodi ya usajili

Tanga. Chama cha Jiolojia Tanzania (TGS) kimeitaka Serikali kuharakisha uanzishwaji wa bodi ya usajili wa wataalamu wa jiolojia wa Tanzania, kikisisitiza umuhimu wake katika kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu ya sekta ya madini yaliyoainishwa kwenye Dira ya Maendeleo ya 2030 ya Tanzania. Wito huu umetolewa na Rais wa TGS, Dk Elisante Mshiu, kwenye mkutano wao…

Read More

Uchaguzi TOC wafutwa, Mtaka, Tandau kurudishiwa fedha

UCHAGUZI Mku wa Kamati ya Olimpiki uliokuwa ufanyike Desemba 28, umefutwa rasmi na Serikali. Mchakato wa uchaguzi huo ambao ulianza tangu mwezi uliopita nao umesitishwa na wagombea wote, kurejeshewa fedha zao za fomu. Wagombea hao ni Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka aliyekuwa akichuana na Makamu wa Rais wa TOC anayemaliza muda wake, Henry…

Read More

Matokeo ya COP29 – Wito wa Kuchukua Hatua kwa Mataifa Yenye Hatari Zaidi Duniani — Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na Rabab Fatima (umoja wa mataifa) Alhamisi, Desemba 05, 2024 Inter Press Service Chini ya Katibu Mkuu na Mwakilishi Mkuu kwa Nchi Zilizoendelea Chini, Nchi Zinazoendelea Zisizo na Bandari, na Nchi Zinazoendelea Visiwa Vidogo (UN-OHRLLS). UMOJA WA MATAIFA, Desemba 05 (IPS) – Kuhitimishwa kwa Mkutano wa 29 wa Vyama vya Wanachama (COP29) kunaleta mchanganyiko…

Read More

Bashiri na Meridianbet leo hii

  Alhamisi ya leo mechi mbalimbali zinaendelea ambapo nafasi ya wewe kuondoka na ushindi wa pointi 3 ni lazima. Tengeneza jamvi lako la ushindi leo na utusue mapene ya maana. Tukianza na EPL leo hii kuna mechi mbili za hela ambapo Fulham baada ya kutoa sare mechi yake iliyopita, leo hii atakuwa nyumbani kumenyana dhidi…

Read More

Ebwanaee VAR kutumika CHAN 2025

KATIKA hatua ya kihistoria kwa soka la ukanda wa Afrika Mashariki, imetangazwa kuwa Teknolojia ya Video Assistant Referee (VAR) itatumika rasmi katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) ya mwakani. Tangazo hili linakuja siku chache kabla ya mashindano hayo, ambayo yatafanyika kuanzia Februari 1 hadi 28, 2025. Hii itakuwa…

Read More

Meridianbet kasino ya mtandaoni yaja na kitu kipya

  Kuna michezo mingi sana ya Kasino lakini sloti hii ya Book of Eskimo ni Zaidi ya mchezo ni uhalisia wa Maisha, Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakuletea sloti hii ya kijanja inayokupa uhalisia wa mazingira halisi mchezoni ambapo ushindi unapatikana kwa namna ambavyo wewe unaweza kuvumilia baridi kwenye mazingira ya namna hiyo. Kasino ya…

Read More

BILIONI 5.8 KUBORESHA BARABARA YA MOSHI-ARUSHA ENEO LA KWA MSOMALI

Hai, Kilimanjaro Serikali imepata mwarobaini wa kudhibiti changamoto ya miundombinu katika eneo korofi la Kwa Msomali, wilayani Hai, mkoani Kilimanjaro, ambalo limekuwa kikwazo kwa mamia ya wasafiri wanaotumia barabara kuu ya Moshi-Arusha. Akizungumza katika hafla ya kukabidhi eneo la mradi kwa mkandarasi, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amesema mradi huo utahusisha ujenzi wa…

Read More