Tisa kuchuana uenyekiti CUF Desemba 18, Chadema Kanda Kaskazini, Kati waanza kuchukua fomu
Dar es Salaam. Mkutano Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) uliotakiwa kufanyika Septemba 2024 sasa utafanyika Desemba 18 na 19, 2024 huku ajenda kuu ikiwa ni uchaguzi wa viongozi wakuu. Mchakato wa uchaguzi huo ulifanyika kwa wagombea wa nafasi mbalimbali ikiwemo ya mwenyekiti wa chama hicho, walichukua na kurejesha fomu wakitaka kujaza nafasi hizo. Hadi…