Serikali: Sayansi na Teknolojia itatusaidia kuendeleza rasilimali zetu

  WAKATI serikali ikiendelea kuikuza sekta ya Sayansi na Teknolojia imesema panahitajika nguvu zaidi kutengeneza wataalam watakaoziendeleza rasilimali za taifa. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea). Hayo yesemwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda alipokuwa akifunga Kongamano na maonyesho ya tisa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu yaliyoandaliwa na Tume…

Read More

Kilimo Hifadhi Kubadilisha Kilimo Kusini mwa Afrika – Masuala ya Ulimwenguni

Christian Thierfelder, Mwanasayansi Mkuu katika CIMMYT, akipiga picha katika uwanja ambao unajaribiwa kwa kilimo hifadhi katika Kituo cha Utafiti cha Henderson, Harare, Zimbabwe. Credit, Busani Bafana/IPS by Busani Bafana (bulawayo) Alhamisi, Desemba 05, 2024 Inter Press Service BULAWAYO, Desemba 05 (IPS) – Katika nchi tambarare zenye vumbi katika Wilaya ya Shamva nchini Zimbabwe, shamba la…

Read More

JKT yafuta ukame wa misimu sita DB

Timu ya maafande wa JKT imevunja ukame wa miaka saba baada ya kuibeba ubingwa wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (DB), kwa kuifunga UDSM Outsiders katika mchezo wa nne kati ya mitano ya fainali ya ligi hiyo uliopigwa kwenye Uwanja wa Donbosco Oysterbay. Maafande hao waliwatambia wapinzani wao kwa ushindi wa jumla…

Read More

WAKULIMA WASHAURIWA KUPIMA UDONGO KABLA YA KULIMA

 Na Farida Mangube, Morogoro . Katika kuadhimisha siku ya udongo Duniani Idara ya Sayansi za Udongo na Jiolojia ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kwa kushirikiana na Taasisi ya wanaagronomia Tanzania (Tanzania Agronomy Society- TAS) na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) imeadhimisha siku hiyo kwa kuwakutanisha wadau wa kilimo kwa lengo…

Read More

Dkt. Biteko Amwakilisha Rais Samia Kufunga Mkutano AAAG

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe.Dkt. Doto Biteko amewaasa wahasibu barani Afrika kuisimamia taaluma yao kikamilifu ili kuendeleza umuhimu na mchango na ukuaji wa uchumi duniani. Ameyasema hayo leo Desemba 04, 2024 wakati akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kufungaji Mkutano wa Pili wa Jumuiya ya…

Read More

DP WORLD YAPONGEZA MAPATO YA TRA – KAMISHNA MWENDA

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Mwenda amesema Uwekezaji uliofanywa katika Bandari ya Dar es Salaam na Kampuni za DP World na ADANI umechangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la Mapato kwa TRA ndani ya kipindi cha miezi Mitano. Akizungumza wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti ilipokwenda…

Read More