Dua Lipa awaacha midomo wazi mashabiki ,achumbiwa rasmi

Dua Lipa amezua gumzo za shangwe kwenye sherehe  ya Krismasi baada ya kutangaza kuwa amechumbiwa Mwimbaji huyo wa Radical Optimism alienda kwenye Instagram yake kuonesha pete yake ya uchumba . Akichapisha picha yake akiwa amevalia suruali nyeupe yenye Lipa aliandika kwenye nukuu, “Krismasi ilikuwa nzuri sana. Mashabiki walifurika sehemu ya maoni ili kushiriki maoni yao…

Read More

Vipodozi vyamtia matatani dereva, utingo

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linamshikilia dereva wa lori la mafuta, Jackson Kashebo (45), mkazi wa Mbagala, mkoani Dar es Saalam na utingo wake, William Sichone (34), mkazi wa mtaa wa Chapwa wilayani Momba wakituhumiwa kusafirisha vipodozi vyenye viambata vya sumu. Taarifa ya polisi imesema alikuwa akiendesha lori lenye namba za…

Read More

Urithi alioacha ofisa hazina, azikwa pamoja na bintiye

Arumeru. Ni majonzi, aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu katika Ofisi ya Hazina, Amos Nnko na binti yake Maureen wakizikwa. Nnko na Maureen (16) walifariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea Same mkoani Kilimanjaro Desemba 22, 2024. Katika ajali hiyo, Agnes mke wa Nnko, watoto wao wawili Merilyne na Melvine na msaidizi wa…

Read More

'Njaa iko kila mahali', watoto wachanga wanakufa kutokana na baridi, shambulio la anga dhidi ya waandishi wa habari wasio na silaha lashutumiwa – Global Issues

Huko Gaza, ambapo mamia ya maelfu ya watu waliokimbia makazi yao wanajificha kwenye mahema, hali ya joto inatarajiwa kushuka zaidi katika siku zijazo. Edouard Beigbeder, UNICEF Mkurugenzi wa Kanda ya Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini, aliripoti katika a kauli siku ya Ijumaa kwamba, kwa mujibu wa Wizara ya Afya ya Palestina, watoto wanne waliozaliwa…

Read More

Simbachawene ataka mfuko wa kusawasaidia wasio na uwezo kielimu

Dodoma. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amekitaka Kikundi cha Mikalile ye Wanyausi ambacho huwakusanya jamii ya Wagogo, kuunda mfuko wa kuwasaidia watoto wasiokuwa na uwezo kielimu. Akizungumza leo Jumamosi Desemba 28, 2024 katika mkutano mkuu wa kikundi hicho, Simbachawene amewataka wanakikundi  kukaa na wawakilishi…

Read More

Wachaga wanavyokula maisha mwisho wa mwaka

Moshi. “Wachaga hatuna shughuli ndogo.” Hayo ni baadhi ya maneno yanayozungumzwa na wenyeji wa Mkoa wa Kilimanjaro,  ambao wameendelea kusherekea sikukuu za mwisho wa mwaka, wakifanya sherehe kwa kuchoma na kunywa. Baadhi yao ni wale waliotoka mikoa mbalimbali kuja mkoani hapa kusherekea sikukuu za mwisho wa mwaka pamoja na ndugu jamaa na marafiki. Hata hivyo,…

Read More

Dk Mwinyi ataka programu shindani taasisi za elimu ya juu

Unguja. Wakati wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu wakitarajiwa kutekeleza miradi na mipango ya kuinua uchumi wa nchi na kutoa huduma bora kwa jamii, Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amezitaka taasisi hizo kuandaa programu katika mitindo itakayowawezesha wahitimu hao kufikia matarajio ya Serikali na jamii kwa ujumla. Dk Mwinyi ametoa…

Read More