Mkutano wa Mwaka wa Madini na Jiolojia wafanyika Tanga wasisitizwa kufanya utafiti na uvumbuzi wa rasilimali

Sekta ya madini nchini Tanzania kwa mwaka 2023/2024, makusanyo yameongezeka kwa asilimia 300 kufikia shilingi bilioni 700 kutoka bilioni 161 mwaka 2021. Ongezeko hili linaonyesha juhudi za serikali kupitia Wizara ya Madini katika kusimamia na kuendeleza sekta hii muhimu kwa uchumi wa taifa. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Mhe. Msafiri Mbibo, amesema hayo…

Read More

EDWIN SOKO MWENYEKITI MPYA WA MISA – TAN

Mwenyekiti Mpya wa MISA- TAN Edwin Soko Mwenyekiti Mpya wa MISA- TAN Edwin Soko     Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog     Mkutano Mkuu wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA-TAN) umefungua ukurasa mpya kwa taasisi hiyo baada ya Wajumbe kumchagua Edwin Soko kuwa Mwenyekiti wa MISA-TAN kwa kipindi…

Read More

Tariq: Haikuwa rahisi kutoboa Biashara hadi Yanga

NYAKATI ngumu wakati mwingine zinaweza zikabadili tatizo na kugeuka fursa, ndivyo anavyosimulia mshambuliaji wa Kagera Sugar, Tariq Seif anayeshuhudia kupitia kudharauka alipata nafasi ya kucheza Yanga msimu wa 2019/20. Unataka kujua ilikuaje? Anasimulia msimu wa 2018/19 akiwa Biashara United, hakuwa chaguo la kwanza, hivyo kuna wakati mwingine alikuwa akipewa nafasi ya kucheza, alisindikizwa na neno…

Read More

Fei toto: Msijali nitaendelea kutupia

KIUNGO Mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema ushindi mfululizo wanaouwapa unawajengea morali nzuri na kuhusu suala la kutupia atafanya hivyo kila akipata nafasi. Fei Toto amehusika kwenye mabao tisa kati ya 19 yaliyofungwa na timu hiyo kwenye mechi 13 walizocheza na kufanikiwa kukusanya pointi 30 baada ya ushindi mara tisa, sare tatu…

Read More

Simba, Yanga na Azam zapata shavu Russia

Klabu za Simba, Yanga na Azam zimepata fursa ya kucheza mechi za kirafiki na klabu za Ligi Kuu ya Russia, pamoja na kuweka kambi katika kipindi cha mapumziko ya ligi. Fursa hiyo imepatikana kutokana na ziara ya Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Damas Ndumbaro nchini humo na alikutana na kufanya mazungumzo na Waziri…

Read More

Madhara Mbaya ya Mabadiliko ya Tabianchi Yafichuliwa Katika Mashauri ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki – Masuala ya Ulimwenguni

Mahakama ya Kimataifa ya Haki inasikiliza siku 10 za ushahidi ili kutoa maoni ya ushauri juu ya majukumu ya mabadiliko ya hali ya hewa. Credit: ICJ na Umar Manzoor Shah (hague & Srinagar) Jumatano, Desemba 04, 2024 Inter Press Service Mahakama ya Kimataifa ya Haki huko Hague ilisikia kuhusu athari za mabadiliko ya hali ya…

Read More

Hussein Abel mbadala wa Manula aliyeshindwa kusafiri

Golikipa wa Simba, Hussein Abel amesafiri jana usiku kuelekea Algeria kuchukua nafasi ya Aishi Manula aliyekwama Dar es Salaam. Uamuzi huo umechukuliwa baada ya Manula kushindwa kusafiri na timu kutokana na kupata changamoto ya kiafya jana Jumatano Novemba 4, 2024 wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, muda mfupi kabla ya safari kuanza….

Read More