Wanaharakati Wahimiza Vyama vya Siasa Kuwapa Nafasi Wanawake, Vijana na Walemavu Kugombea Uongozi

VYAMA vya siasa vimetakiwa kuwaamini wanawake,vijana wa jinsia zote,sambamba na walemavu kwa kuwapatia nafasi ya kusimama katika nafasi za kugombea uongozi ili wapate nafasi ya kuchaguliwa na kuongoza. Tamko hilo limetolewa leo Disemba 04,2024 na Afisa TGNP idara ya ujenzi na nguvu za pamoja Anna Sangai katika semina za jinsia na Maendeleo zinazofanyika kila Jumatano…

Read More

RAIS WA AfCHPR ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA THBUB

Na Mwandishi Wetu, Dodoma. Raisi wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) Mhe. Imani Daud Aboud leo Novemba 04, 2024 ametembelea Makao makuu ya ofisi za Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) yaliyopo Mkoani Dodoma kwa lengo la kufanya mazungumzo na Uongozi wa tume hiyo na kuifahamisha majukumu…

Read More

Mifuko ya pamoja uwekezaji inavyofanya kazi, faida zake

Fikiria wewe na majirani zako mnataka kununua kipande cha ardhi kwa ajili ya kilimo, lakini hakuna mmoja wenu mwenye pesa za kutosha kufanya hivyo peke yake. Hivyo, mnaamua kuchangishana ili kununua shamba, mnaajiri mtaalamu wa kilimo kusimamia shamba, na baadaye, faida inayopatikana kutoka kwenye mauzo ya mavuno inagawanywa kulingana na kile kila mmoja alichochangia. Mfano…

Read More

DG TCAA AHUDHURIA TUZO ZA WANAFUNZI BORA ZA DIT JIJINI DSM

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Bw.Salim Msangi amesema taasisi yake itafanya mashirikiano na Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam(DIT), ili kupata watalaam katika Usafiri wa Anga nchini.a Mkurugenzi Mkuu Mkuu Msangi ameyasema hayo Desemba 4,2024 wakati akitoa salamu za TCAA katika hafla ya kutoa tuzo kwa wanafunzi waliofanya vizuri katika…

Read More

‎Serikali Yashauri Uwekezaji Katika Sayansi na Teknolojia Uongezeke

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv ‎WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema Tanzania inahitaji kuongeza uwekezaji katika sayansi na teknolojia ili kuwa na rasilimali watu mahiri wenye uwezo wa kuendeleza rasilimali zilizopo nchini. ‎Amesema bila kuwekeza katika maeneo hayo, watakwama na badala yake, rasilimali asili zitakuwa laana na si baraka. ‎Akifunga Kongamano…

Read More