TGNP YATOA MAFUNZO KWA WATENDAJI NA MAAFISA MAENDELEO

Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) imetoa mafunzo ya uchambuzi wa masuala ya kinjisia na bajeti yenye mrengo wa kijinsia kwa Watendaji na Maafisa maendeleo ya jamii yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. Lengo la mafunzo hayo ni kuongeza uelewa juu ya umuhimu wa upangaji wa bajeti, mipango na sera zinazozingatia jinsia, miongoni mwa watoa maamuzi pamoja…

Read More

Uchaguzi serikali za mitaa: Warioba atoa angalizo tena

Dar es Salaam. Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba ametoa maoni kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji uliopita, akibainisha kasoro zilizojitokeza na kumuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuchukua hatua. Jaji Warioba aliyewahi kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania ametaka Chama cha Mapinduzi (CCM) na vyama vya upinzani kuweka masilahi yao…

Read More

Jinsi Programu Iliyobadilisha Kilimo kwa Wanawake wa Kitanzania Vijijini – Masuala ya Ulimwengu

Wanawake katika kijiji cha Kilema wakivuna viazi vitamu vya machungwa. Credit: Kizito Makoye/IPS by Kizito Makoye (kilimanjaro, tanzania) Jumatano, Desemba 04, 2024 Inter Press Service KILIMANJARO, Tanzania, Des 04 (IPS) – Katika udongo uliochomwa na jua wa Moshi, ambapo kila tone la mvua huchangia, wakulima wawili wa kike wamekaidi tabia hiyo kupitia teknolojia. Mwajuma Rashid…

Read More

Dk Biteko ataka nchi za EAC, SADC kuimarisha teknolojia

Arusha. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema nchi za Afrika Mashariki (EAC) na za Kusini mwa Jangwa la Sahara (SADC) zinapaswa kuimarisha teknolojia katika kutekeleza mipango ya nishati bora, ikiwa ni pamoja na kuwekeza katika tafiti na kuongeza uwezo wa uzalishaji wa ndani. Aidha, amewahimiza wadau wa maendeleo kuendelea kuchangia…

Read More

IAA YAADHIMISHA SIKU YA WATU WENYE ULEMAVU DUNIANI

Siku ya Watu Wenye Ulemavu Duniani, ambayo huadhimishwa kila mwaka tarehe 3 Desemba, ni fursa muhimu ya kuhamasisha jamii na dunia kwa ujumla kuhusu haki, usawa, na ustawi wa watu wenye ulemavu Katika kuadhimisha siku hiyo, Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), kimeandaa semina na kimetoa elimu kwa wanafunzi kuhusu haki za watu wenye ulemavu na…

Read More

Namibia yamchagua rais wa kwanza mwanamke

Windhoek, Namibia Netumbo Nandi-Ndaitwah, kutoka Chama tawala cha South West Africa People’s Organisation (Swapo), amepigiwa kura kuwa rais wa kwanza mwanamke wa Namibia baada ya uchaguzi wa wiki iliyopita. Tume ya uchaguzi ilisema ameshinda zaidi ya 57% ya kura, huku mpinzani wake wa karibu Panduleni Itula akipata 26%. Kufuatia matatizo ya vifaa na kuongezwa kwa…

Read More

TEA, BRAC Maendeleo Tanzania yawezesha walimu na wanafunzi wa shule za Sekondari kupitia programu ya “Skills for their Future” Jijini Dar es Salaam

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV MAMLAKA ya Elimu Tanzania (TEA) imeipongeza Taasisi ya BRAC Maendeleo Tanzania kwa kufadhili na kugharamia programu ya kuendeleza ujuzi yaani ‘‘Skills for their Future’’ ya kuwajengea walimu pamoja na wanafunzi uwezo wa kutumia TEHAMA katika Shughuli zao mbalimbali ikiwemo shughuli za kitaaluma pamoja na bunifu mbalimbali kwa kushirikiana na Mfuko…

Read More