REA yaupamba mkutano wa Kikanda wa Nishati Bora 2024

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unashiriki katika Mkutano wa Kikanda wa Matumizi Bora ya Nishati 2024 unaofanyika jijini Arusha ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko. REA imeungana na wadau mbalimbali kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya…

Read More

Taasisi ya GSM Foundation yaendelea kuchangia jitihada za Serikali katika uhifadhi wa taka kwa Shule za Msingi

Katika jitihada zake za kuimarisha utunzaji wa mazingira nakukuza elimu ya uhifadhi wa taka kwa wanafunzi wa shule za msingi, Taasisi ya GSM Foundation imetoa msaada wa vifaavya kuhifadhia taka kwa Shule ya Msingi Jangwani Beach, Mbezi Beach, Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam. Vifaa vilivyotolewa ni pamoja na usimikaji wa mapipa 12 yakuhifadhia taka…

Read More

DKT.DIMWA : CCM INATHAMINI MCHANGO WA CPC KISIASA.

Aliendelea na kusisitiza kuwa ushirikiano wa CCM na CPC utaleta manufaa kwa maendeleo ya Zanzibar na Tanzania kwa ujumla. “CCM itaendeleza na kusimamia kikamilifu mahusiano yetu na CPC ili kuimarisha maendeleo katika nyanja za kijamii, kisiasa, na kidiplomasia, na kuhakikisha kuwa wananchi wa pande zote mbili wanapata faida ya ushirikiano huu,” alisema Dkt. Dimwa. Aidha,…

Read More

MBUNGE BONNAH ACHARUKA, ATAKA KUFUNGULIWA MARAMOJA NJIA ILIYOFUNGWA NA MFANYABISHARA WA KITUO CHA MAFUTA DAR

 MBUNGE wa Jimbo la Segerea Bonnah Kamoli,  amesema yuko  tayari kutoa fedha zake  kugharamia uondoaji  mawe  makubwa  yaliyotumika na mfanyabiashara mmoja anayemiliki kituo cha mafuta kufunga  njia  na kusababisha  adha kubwa kwa wananchi kando ya daraja la juu linalovuka Reli ya  SGR,  Uwanja wa Ndege, Kata ya Kipawa, jijini Dar es Salaam. Aidha  mfanyabiashara  huyo…

Read More

KAMILISHENI MIRADI KWA WAKATI KUHARAKISHA TIJA KWA WANANCHI- MHE. KATIMBA

Naibu Waziri wa nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Zainab Katimba (Mb) amemtaka Mkandarasi na Mtaalamu Mshauri anayetekeleza Mkataba wa Ujenzi wa miundombinu inayoratibiwa na mradi wa TACTIC wilayani Kahama Mkoani Shinyanga kukamilisha haraka ujenzi huo kulingana na matakwa ya mkataba ili wananchi wanufaike kikamilifu na uwekezaji huo unaosimamiwa na Serikali kupitia TAMISEMI. Naibu Waziri Katimba…

Read More

Biden autembelea mradi wa reli Angola – DW – 04.12.2024

Rais wa Marekani Joe Biden yuko nchini Angola katika siku yake ya mwisho ya ziara ya siku tatu na ameutembelea mradi mkubwa wa miundombinu ya reli unaofadhiliwa na nchi yake unaofahamika kama Ukanda wa Lobito. Mradi huo unahusisha ukarabati wa kiasi kilometa 1,300 za njia ya reli inayoziunganisha nchi tatu za Zambia, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo…

Read More