Mambo bado kesi ya ‘Dk Manguruwe’

Dar es Salaam. Serikali inaendelea na upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40) maarufu Dk Manguruwe na mkaguzi wa fedha wa kampuni hiyo, Rweyemamu John (59). Washtakiwa wanakabiliwa na mashtaka 28, yakiweno ya kuendesha biashara ya upatu na utakatishaji fedha, kinyume cha sheria. Wakili wa…

Read More

Wanane mbaroni wakidaiwa kutaka kumteka Tarimo

Dar es Salaam. Siku 23 tangu video za jaribio la kutaka kumteka Deogratius Tarimo, mkazi wa Kiluvya jijini Dar es Salaam zisambae, hatimaye Jeshi la Polisi limesema linawashikilia watuhumiwa wanane wa tukio hilo. Taarifa ya kushikiliwa kwa watu hao imetolewa na Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Jumanne Muliro leo Jumanne,…

Read More

Othman ataka mshikamano kupigania haki Zanzibar

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha ACT- Wazalendo Taifa, Othman Masoud, amesema ni wajibu kwa wananchi wa Zanzibar kuonyesha mshikamano katika kupigania haki zao za msingi, zikiwemo za utambulisho na masilahi ya nchi yao. Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, amesema hayo alipozungumza na wananchi wa Shehia ya Mjananza Wingwi, Jimbo…

Read More

MWEZI WA PESA: MERIDIANBET YALETA PROMOSHENI KUBWA YA SIKUKUU!

MERIDIANBET imezindua promosheni ya kipekee ya Mwezi wa Pesa, ambayo inaleta furaha ya msimu wa sikukuu kwa wachezaji. Promosheni hii, itakayodumu kuanzia Desemba 1 hadi Desemba 25, inalenga kuwapa wachezaji nafasi ya kushinda zawadi kubwa. Wachezaji wanakaribishwa kucheza michezo ya sloti maarufu ya Playson kama 25 Cookies: Hit the Bonus, Jingle Coins: Hold & Win,…

Read More

ARSENAL VS MAN UNITED MECHI YA WAKUBWA

MCHEZO kati ya klabu ya Arsenal dhidi ya Manchester United ni mchezo wenye historia kubwa kwenye soka la Uingereza, Ambapo leo utakwenda kuchezwa pale katika dimba la Emirates na upande wa wabashiri wanaweza kunyakua mkwanja kupitia Meridianbet kwa kubashiri mchezo huu mkali. Arsenal leo watakua nyumbani kuikaribisha Man United katika uwanja wao wa nyumbani ambapo…

Read More

Aussems amtaja Rupia Singida Black Stars

ALIYEKUWA kocha mkuu wa Singida Black Stars, Patrick Aussems amemtaja mshambuliaji wa Kenya, Elvis Rupia kuwa mmoja wa washambuliaji hatari katika Ligi Kuu Bara kwa sasa na ana nafasi nzuri ya kuwania kiatu cha ufungaji bora msimu huu. Aussems ambaye aliiongoza Singida Big Stras katika michezo 11 ikishinda saba, sare mitatu na kupoteza moja dhidi…

Read More

Kibano kwa wanaotumia vibaya noti kutunza kwenye sherehe

Unguja. Serikali imesema kumeibuka wimbi la matumizi mabaya ya fedha (noti) katika shughuli za kijamii, hususani kwenye sherehe za harusi ambako watu hutunza wahusika kwa kuwarushia, jambo ambalo ni kosa kisheria. Pia noti hizo huviringishwa kwenye maumbo mbalimbali na kutumika kama mapambo ambayo huvishwa mwili wa mtu ulioloa jasho na matukio mengine yanayofanana na hayo….

Read More