Manula abaki Dar, Simba ikipaa Algeria

KIPA wa Simba, Aishi Manura ameshindwa kuendelea na safari baada ya kupata shida ya kiafya muda mfupi kabla ya kuanza safari ya kwenda nchini Algeria. Kikosi hicho chini ya kocha Davis Fadlu kinakwenda Algeria kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika wa hatua ya makundi itakaocheza dhidi ya CS Constantine, Jumapili, wiki hii….

Read More

Ujasiri, sio Maelewano? Kilio cha Mashindano ambacho hakikufaulu katika Mikutano ya COP iliyofungwa – Masuala ya Ulimwenguni

Mazungumzo kuhusu utawala wa baadaye wa ukame duniani yalianza katika UNCCD COP16 huko Riyadh, Saudi Arabia Desemba 2-13. Maoni na Simone Galimberti (kathmandu, nepal) Jumatano, Desemba 04, 2024 Inter Press Service KATHMANDU, Nepal, Des 04 (IPS) – Ujasiri na sio maelewano. Hiyo ndiyo kauli mbiu iliyozinduliwa kwa hamu na wanachama wa mashirika ya kiraia katika…

Read More

Hapa Fei, pale Ahoua moto utawaka

WAKATI Simba alfajiri ya leo ikiondoka kwenda Algeria, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Jean Charles Ahoua ameonekana kumkosha zaidi kocha  Fadlu Davids kutokana na mchango alionao kikosini. Kiungo huyo aliyejiunga na Simba msimu huu akitokea Stella Club d’Adjamé ya Ivory Coast amechangia mabao tisa kati ya 22 yaliyofungwa na timu yake katika Ligi Kuu Bara…

Read More

DKT.DIMWA : ASEMA CCM INATHAMINI MCHANGO WA CPC KISIASA

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,akizungumza na Viongozi Wandamizi wa Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) waliofika Ofisini kwake Kisiwandui Zanzibar kwa ajili ya mazungumzo ya kuimarisha taasisi hizo mbili leo tarehe 04/12/2024. NA MWANDISHI WETU,ZANZIBAR. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,amesema chama…

Read More

Ishu ya Kali, KMC iko hivi!

UONGOZI wa KMC kupitia kwa ofisa mtendaji mkuu wa kikosi hicho, Daniel Mwakasungula umeeleza sababu za kukosekana kwa kocha mkuu wa timu hiyo, Kali Ongala katika benchi lao la ufundi ni kutokana na kukosa kibali cha kazi ‘Work Permit’.

Read More

MBEYA; WAWILI WASHIKILIWA KWA TUHUMA ZA MAUAJI

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili kwa tuhuma za mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Tawi la Machinjioni Kata ya Bwawani Michael Andarson Kalinga [36] mkazi wa Makongolosi Wilayani Chunya kwa kumpiga na kitu butu kichwani. Katika taarifa iliyotolewa leo Desemba 04, 2024 na Kaimu Kamanda wa Polisi,…

Read More