Meridianbet inaleta msimu wa sikukuu wenye furaha kupitia promosheni ya Mwezi wa Pesa. Promosheni hii inalenga kutoa zawadi kubwa kwa wachezaji kupitia michezo maarufu ya
Month: December 2024

Leo unaweza kunyakua mkwanja wa kutosha kupitia michezo mbalimbali inayopigwa kunako ligi kuu ya Uingereza pamoja na ligi zingine barani ulaya na mchezo ambao unakwenda

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kufuta sherehe za miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara na badala yake fedha hizo zitumike kusaidia

Ndemupelila Netumbo Nandi-Ndaitwah, anatarajiwa kuwa Rais wa awamu ya tano wa Namibia na wa kwanza mwanamke katika nchi hiyo, baada ya kushinda kwenye uchaguzi mkuu

Ni miaka 25 toka kuanzishwa kituo cha utangazaji wa radio ya watu CloudsFM ambayo ilikuwa ni December 2 lakini imeamuliwa kusherehekea leo hii ambapo Mkurugenzi

Tangazo la kushtukiza la sheria ya kijeshi siku ya Jumanne lilisababisha mzozo na bunge, ambalo lilikataa jaribio lake la kupiga marufuku shughuli za kisiasa na

Moshi. Glory Mallya, mtoto wa marehemu Isaack Mallya (72), aliyeuawa nyumbani kwake kijijini Umbwe Onana, Wilaya ya Moshi, Kilimanjaro na watu wasiojulikana, ameeleza aliyozungumza na

Mratibu wa masuala ya kiutu wa Umoja wa Mataifa Tom Fletcher amewaambia waandishi wa habari mjini Geneva kwamba ulimwengu unateketea, na kukiri kwamba anausubiria mwaka

Dar es Salaam. Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema treni zake za mwandokasi zilizokuwa zinasafiri kati ya Dar es Salaam, Morogoro na Dodoma zilisimama kwa

Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) imezindua msimu wa kampeni ya kuhamasisha utalii kwa wananchi kuelekea msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka