Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: December 2024

  • Home
  • 2024
  • December
  • Page 229
Kimataifa

Israel-Lebanon Sitisho la Mapigano Halina uhakika Huku Kukiwa na Ukiukaji Unaorudiwa – Masuala ya Ulimwenguni

December 4, 2024 Admin

Watoto wawili wa Lebanon wanaoishi katika shule iliyogeuzwa makazi huko Beirut kufuatia kuongezeka kwa uhasama nchini Lebanon. Credit: UNICEF/Fouad Choufany na Oritro Karim (umoja wa

Read More
Habari

Namibia yapata Rais wa kwanza mwanamke – DW – 04.12.2024

December 4, 2024 Admin

Ushindi huo unamfanya Nandi-Ndaitwah kuwa Rais wa kwanza mwanamke katika taifa hilo la Kusini Magharibi mwa Afrika. Matokeo yaliyotangazwa Jumanne na tume ya taifa ya

Read More
Habari

Tumaini jipya kwa watu wenye ulemavu Tanzania

December 4, 2024 Admin

Dar es Salaam. “Ni Tumaini jipya. Ni kauli za watu wenye ulemavu nchini Tanzania baada ya kuanza kutumika kwa mipango madhubuti ukiwemo wa kitaifa wa

Read More
Habari

Tanesco yataja sababu mikoa kadhaa kukosa umeme

December 4, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mikoa inayopata huduma ya umeme katika gridi ya Taifa imekosa umeme kutokana na hitilafu iliyojitozea. Hayo yamebainishwa na Shirika la Umeme Tanzania

Read More
Habari

Alliance One Tobacco yashinda tuzo za ATE za mwajiri bora wa mwaka

December 4, 2024 Admin

KAMPUNI ya Tumbaku ya Alliance One Tanzania Limited(AOTTL) imeibuka mshindi wa jumla katika kuzalisha ajira nchini iliyotolewa na Chama cha Waajiri Tanzania(ATE). Kampuni hiyo yenye

Read More
Habari

Majaliwa Awaasa Majaji Kuendelea Kutumia Matumizi ya Teknolojia Ili kutoa Haki Kwa Wananchi .

December 4, 2024 Admin

Na Jane Edward,Arusha . Waziri Mkuu amewakumbusha Majaji na Mahakimu wa Ukanda wa Afrika Mashariki kuendelea kutumia matumizi ya teknolojia kwani  ni muhimu kuzingatiwa kwa

Read More
Habari

MAJIKO YA GESI 3,255 KUTOLEWA KWA BEI YA RUZUKU LONGIDO

December 4, 2024 Admin

-Wananchi wamshukuru Rais Samia Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza usambazaji wa majiko ya gesi (LPG) ya kilo sita kwa bei ya ruzuku

Read More
Habari

Waziri Ulega Awafunda TVA Kusimamia Taaluma ili Kuondokana na Makanjanja.

December 4, 2024 Admin

  Na Jane Edward, Arusha  Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdalah Ulega amewataka madaktari wa wanyama nchini kutumia taaluma yao ipasavyo ikiwa ni pamoja na

Read More
Habari

VETA YABUNI DAWA YA KUKABILIANA NA UTI NA FANGASI

December 4, 2024 Admin

Na Avila Kakingo MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (VETA), imebuni dawa ya kukabiliana na ugonjwa ya maambukizi ya bakteria kwa njia ya mkojo

Read More
Habari

TASAF YAPONGEZA JITIHADA ZINAZOFANYWA NA WALENGWA WENYE ULEMAVU KUPAMBANA NA UMASIKINI

December 4, 2024 Admin

  Na Mwandishi Wetu MKURUGENZI wa Miradi wa TASAF John Steven amewapongeza watu wenye ulemavu kutoka katika Kaya za Walengwa kwa jitihada wanazoonesha katika kupambana

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 228 229 230 … 256 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.