Wawili wadakwa kwa kuingia vipodozi vyenye sumu

  JESHI la Polisi Mkoa wa Songwe linamshikilia watu wawili kwa tuhuma ya kusafirisha vipodozi vyenye viambata vya sumu aina mbalimbali boksi 201. Anaripoti Mwandishi Wetu, Songwe … (endelea). Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe, SACP Augustino Senga amewataka watuhumiwa hao ni dereva wa lori tenki la mafuta lenye namba za usajili T.747 DDE na…

Read More

Yanga Omari ‘rais wa Tanga’ afia kifungoni

Dar es Salaam. Aliyekuwa mfanyabiashara maarufu jijini Tanga, Yanga Omari ‘maarufu rais wa Tanga’ amefariki dunia jana mchana (Desemba 27, 2024) akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), akiwa chini ya ulinzi wa Jeshi la Magereza. Yanga alikuwa anatumikia kifungo cha miaka 30 jela baada ya kutiwa hatiani kwa kupatikana na dawa za…

Read More

Yanga Omari ‘rais wa Tanga’ afia kifungoni

Dar es Salaam. Aliyekuwa mfanyabiashara maarufu jijini Tanga, Yanga Omari ‘maarufu rais wa Tanga’ amefariki dunia jana mchana (Desemba 27, 2024) akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), akiwa chini ya ulinzi wa Jeshi la Magereza. Yanga alikuwa anatumikia kifungo cha miaka 30 jela baada ya kutiwa hatiani kwa kupatikana na dawa za…

Read More

Ngoma aivusha Simba 2024 kileleni

BAO pekee lililowekwa kimiani dakika 41 na kiungo Fabrice Ngoma limeiwezesha Simba kujihakikisha kuuaga mwaka 2024 na kujiandaa kuingia 2025 ikiwa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kuizamisha Singida Black Stars ikiwa nyumbani kwenye Uwanja wa Liti, mjini Singida. Ushindi huo ambao ni wa tisa mfululizo kwa Simba tangu ilipiotoka kupoteza mbele…

Read More

Mwanamke auawa na wanaodaiwa kuwa ‘michepuko’ yake

Bukoba. Jeshi la Polisi linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za mauaji ya Editha Andason, mkazi wa Mtaa wa Kilimahewa, uliopo Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, aliyeuawa kwa kunyongwa kwa mtandio shingoni. Akizungumza na vyombo vya habari leo Desemba 28, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Brasius Chatanda amesema wamefanikiwa kuwakamata watu wawili waliokuwa wakitafutwa…

Read More

Matampi ampa tuzo Camara | Mwanaspoti

WAKATI Ligi Kuu Bara ikiwa ndio kwanza imeanza duru la pili na ikienda kusimama hadi Januari 20 mwakani, aliyekuwa kipa wa Coastal Union, Ley Matampi ameitoa tuzo ya Kipa Bora msimu huu kwa Moussa Camara ‘Spider’, akiamini ndiye mrithi wake kwa sasa baada ya yeye kuondoka. Matampi alitwaa tuzo hiyo msimu uliopita kwa kuwa na…

Read More

Yanga Omari afariki dunia | Mwananchi

Dar es Salaam. Aliyekuwa mfanyabiashara maarufu jijini Tanga, Yanga Omari ‘maarufu rais wa Tanga’ amefariki dunia jana mchana (Desemba 27, 2024) akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), akiwa chini ya ulinzi wa Jeshi la Magereza. Yanga alikuwa anatumikia kifungo cha miaka 30 jela baada ya kutiwa hatiani kwa kupatikana na dawa za…

Read More