Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: December 2024

  • Home
  • 2024
  • December
  • Page 230
Habari

Wanafunzi wa kike TPC wafaidika na juhudi za kiwanda cha sukari

December 4, 2024 Admin

Na Safina Sarwatt, Kilimanjaro Wanafunzi 68 wa kike katika Shule ya Sekondari ya TPC mkoani Kilimanjaro wamepata afueni kubwa baada ya kiwanda cha sukari cha

Read More
Habari

Petroli, Dizeli zashuka bei, Ewura yatoa mwongozo

December 4, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wamiliki wa vyombo vya moto wanaendelea kufurahia kupungua kwa bei ya mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa, baada ya bei

Read More
Habari

PUMA ENERGY TANZANIA YASHINDA TUZO KITUO BORA CHA MAFUTA KINACHOFIKIKA NA KUPATIKANA KWA URAHISI ZAIDI NCHINI

December 4, 2024 Admin

Kampuni ya usambazaji na uuzaji wa huduma na bidhaa za nishati ya Puma Energy Tanzania imetwaa tuzo ya Kituo Bora cha Mafuta kinachofikika na kupatikana

Read More
Habari

Lowassa, Mwinyi walivyoliachia Taifa majonzi na simanzi

December 4, 2024 Admin

Mwaka 2024 umekuwa wa majonzi kwa taifa kutokana na kuondokewa kwa viongozi wawili mashuhuri wa kitaifa waliopendwa na Watanzania na kufanya makubwa kwa ajili ya

Read More
Habari

KONA YA FYATU MFYATUZI: Tujifunze ya uchaguzi mkuu kwa Botswana

December 4, 2024 Admin

Hivi karibuni Botswana, inayosifika kwa ufanisi kiuchumi na ubora na ugwiji katika demokrasia na utawala bora, kwa mara ya kwanza tangu ipate uhuru mwaka 1966,

Read More
Habari

TPA mwajiri Bora sekta ya umma 2024

December 4, 2024 Admin

  MAMLAKA ya Usimamizi waBandari Tanzania (TPA) kwa mara ya tatu mfululizo imetangazwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) kuwa ni mwajiri bora wa sekta

Read More
Habari

TAAMULI HURU: Upinzani umeshinda uchaguzi wa serikali za mitaa

December 4, 2024 Admin

Leo safu yangu haitajikita kwenye hoja za kisheria, nitajikita kwenye matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa ya kuyadurusu kwa jicho tunduizi, hivyo kuwaonyesha umdhaniye

Read More
Habari

Wadau wa Run for Binti Watoa Elimu Mkoani Mtwara

December 4, 2024 Admin

LSF kwa kushirikiana na Smile for Community, Stanbic Bank, Girl Guide Tanzania, na Marie Stopes wameendesha kampeni ya kutoa elimu kwa wanafunzi, wazazi, na jamii

Read More
Habari Kimataifa

Je, Tanzania inaandika rekodi ya utekaji, mauaji?

December 4, 2024 Admin

Tumshukuru Mungu kwa Abdul Nondo, Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT-Wazalendo kupatikana akiwa hai, japo amejeruhiwa. Tena vibaya, kama ilivyotaarifiwa. Inaumiza, lakini afadhali. Wengine hatujui

Read More
Magazeti

Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 4, 2024

December 4, 2024 Admin

Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania December 4, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya. The post

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 229 230 231 … 256 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.