Petroli, Dizeli zashuka bei, Ewura yatoa mwongozo

Dar es Salaam. Wamiliki wa vyombo vya moto wanaendelea kufurahia kupungua kwa bei ya mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa, baada ya bei za mafuta yanayoingia nchini Tanzania kupitia bandari mbalimbali kutangazwa kushuka kuanzia leo Jumatano, Desemba 4, 2024. Taarifa ya Mamlaka ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura)…

Read More

Lowassa, Mwinyi walivyoliachia Taifa majonzi na simanzi

Mwaka 2024 umekuwa wa majonzi kwa taifa kutokana na kuondokewa kwa viongozi wawili mashuhuri wa kitaifa waliopendwa na Watanzania na kufanya makubwa kwa ajili ya nchi yao walipokuwa na dhamana ya uongozi. Viongozi hawa ni Rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi na aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa ambao wote walifariki Februari mwaka huu…

Read More

KONA YA FYATU MFYATUZI: Tujifunze ya uchaguzi mkuu kwa Botswana

Hivi karibuni Botswana, inayosifika kwa ufanisi kiuchumi na ubora na ugwiji katika demokrasia na utawala bora, kwa mara ya kwanza tangu ipate uhuru mwaka 1966, imekibwaga chama kilicholeta uhuru na kuchagua upingaji baada ya kukichoka kilicholewa maulaji hadi kikajisahau kisijue kinaweza kusahaulika kama wenzake kule Kenya, Malawi na Zambia. Kwanza, nikiri. Nilitamani nasi tujifunze kitu…

Read More

TPA mwajiri Bora sekta ya umma 2024

  MAMLAKA ya Usimamizi waBandari Tanzania (TPA) kwa mara ya tatu mfululizo imetangazwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) kuwa ni mwajiri bora wa sekta ya umma na kupea Tuzo ya Mwanachama wa Kudumu kwa Taasisi za Umma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Da es Salaam … (endelea). Akikabidhi uongozi wa TPA tuzo za umahili mwishoni mwa…

Read More

TAAMULI HURU: Upinzani umeshinda uchaguzi wa serikali za mitaa

Leo safu yangu haitajikita kwenye hoja za kisheria, nitajikita kwenye matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa ya kuyadurusu kwa jicho tunduizi, hivyo kuwaonyesha umdhaniye ndiye, siye na usiyemdhania ndiye. Mshindi wa jumla ni CCM, hivyo chereko chereko za ushindi ni kwa CCM, aliyeshindwa jumla ni upinzani, wamebaki wanalialia kuhusu figisu na faulo walizochezewa. Sasa…

Read More

Wadau wa Run for Binti Watoa Elimu Mkoani Mtwara

LSF kwa kushirikiana na Smile for Community, Stanbic Bank, Girl Guide Tanzania, na Marie Stopes wameendesha kampeni ya kutoa elimu kwa wanafunzi, wazazi, na jamii ya Mnyawi, katika wilaya ya Nanyamba, mkoani Mtwara. mafunzo hayo yamefanyika siku moja kabla ya kukabidhi rasmi ujenzi wa vyoo, taulo za kike za kujisitiri, na kupanda miti kwa ajili…

Read More

Je, Tanzania inaandika rekodi ya utekaji, mauaji?

Tumshukuru Mungu kwa Abdul Nondo, Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT-Wazalendo kupatikana akiwa hai, japo amejeruhiwa. Tena vibaya, kama ilivyotaarifiwa. Inaumiza, lakini afadhali. Wengine hatujui walipo. Tutawaona tena au ndiyo kimya milele? Watekaji wanajua. Mungu anajua. Inawezekana wakiona tunaulizia walipo ndugu waliopotea kwa muda mrefu, watekaji wanacheka. Wanaona tunajisumbua bure. Wao wanaujua ukweli. Lazima tufahamu…

Read More