Baba asimulia mwenyekiti UVCCM alivyouawa

Mbeya. Adalas Mwijagege, baba mzazi wa Michael Kalinga ali, mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Tawi la Machinjioni, Chunya mkoani Mbeya amesema anaviachia vyombo vya dola kubaini waliohusika na mauaji ya mwanaye. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo Jumanne, Desemba 3, 2024 na mwili wa kijana huyo umekutwa katika Kata…

Read More

Polisi Mbeya wataja chanzo cha ajali barabarani

Mbeya. Wakati Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Mbeya likisema watembea kwa miguu, abiria na bodaboda ni chanzo cha ajali za mara kwa mara barabarani,  limetangaza msiamo mpya wa kukabiliana na  changamoto hiyo. Akizungumza leo Jumanne Desemba 3, 2024 wakati wa utoaji elimu ya usalama barabarani kwa wanafunzi, Kamanda wa Kikosi cha Usalama…

Read More

Serikali yaombwa kuajiri madaktari wa wanyama

Arusha. Chama cha Madaktari wa Wanyama Tanzania (TVA), kimeiomba Serikali kuajiri madaktari wapya wa wanyama ili kuimarisha mapambano dhidi ya magonjwa hatarishi, hasa yale ya milipuko na yanayosambaa kimataifa. Akizungumza leo Jumanne Desemba 3, 2024 katika kongamano la 42 la wanachama wa TVA lililohudhuriwa na wajumbe 2,000 kutoka Tanzania na nchi za Jumuiya ya Madola,…

Read More

DC Timbuka atoa tahadhari barafu ya Mlima Kilimanjaro

Moshi. Wakati mabalozi tisa wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani wakitarajia kuwaongoza Watanzania 300 kupanda Mlima Kilimanjaro, kuadhimisha miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika, Mkuu wa Wilaya ya Siha, Dk Christopher Timbuka, amesema kama mazingira hayatatunzwa, kuna hatari ya barafu iliyoko kwenye mlima huo kuyeyuka. Hivyo ametoa rai kwa wakazi wanaouzunguka mlima huo kutunza mazingira…

Read More

WAHASIBU WAKUU SHAURINI NCHI ZENU KUWEKEZA TANZANIA.

Na Ashura Mohamed -Arusha  Afisa Mkuu wa Biashara  kutoka Benki ya CRDB bw.Boma  Rabala amesema Mkutano wa Pili wa mwaka wa Jumuiya ya Wahasibu wakuu barani  Afrika (AAAG)  unaoendelea Jijini Arusha  ni muhimu  katika Sekta ya fedha ikiwa matumizi mazuri ya teknojia yatazingatiwa. Ameyasema kayo wakati akizungumza na waandishi wa Habari katika  Viwanja wa AICC…

Read More

Trafiki walivyojipanga kudhibiti ajali mwishoni mwa mwaka

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani (Trafiki) limetaja mikakati mitano ya kudhibiti ajali hasa za mwisho mwa mwaka. Mkuu wa Trafiki nchini, Kamanda Ramadhani Ng’anzi ametaja mikakati hiyo ikiwamo kuongeza kamera ‘tochi’ ili kudhibiti ajali za barabarani. Akizungumza na waandishi wa habari leo Desemba 3, 2024 jijini Dar es Salaam, amesema…

Read More

Chikola akwepa presha ya ufungaji Bara

LICHA ya kuwa kwenye kiwango bora na kasi kubwa ya kutupia mabao, winga wa Tabora United, Offen Chikola amesema hana malengo ya kujiweka kwenye vita ya kuwania ufungaji bora wa Ligi Kuu Bara kwani kipaumbele chake ni kuisaidia timu kufanya vizuri katika mechi. Chikola aliyejizolea umaarufu hivi karibuni baada ya kufunga mabao mawili kwenye ushindi…

Read More

Kilio cha wabunge kuhusu wanyama waharibifu na wakali chasikika

Dodoma. Hatimaye Serikali imesikia kilio cha wabunge kuhusu wanyama wakali na waharibifu, kwa kutoa kibali cha kuwapunguza wanyama hao kwenye baadhi ya maeneo. Hayo yamesemwa leo Jumanne Desemba 3, 2024, Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Pindi Chana wakati akifungua semina ya maofisa wanyamapori jijini Dodoma. Dk Chana amesema ametoa kibali cha kupunguza wanyama wakali…

Read More