Jesca kinara wa asisti BDL

WAKATI msimu wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) 2024, ukikaribia kumalizika, Jesca Lenga wa DB Troncatti   ndiye aliyekuwa kivutio kwa utoaji wa asisti tangu ligi hiyo ilivyoanza. DB Troncatti ilitolewa na DB Lioness katika mchezo wa nusu fainali katika michezo 2-1 na mchezo wa kwanza DB Lioness ilishinda kwa pointi 64-45,…

Read More

Black Gold kasino mgodi wa madini Meridianbet

Dhahabu ni moja kati ya utajiri wenye thamani kubwa sana, Mabenki na wafanyabiashara wakubwa hutumia dhahabu kutunza ukwasi wao, Meridianbet kasino ya mtandaoni ni mgodi bora wa madhini yenye pesa kibao, cheza mchezo wa Black Gold uwe moja kati ya mabilionea wakubwa. Jisajili hapa kama hauna akaunti ya Meridianbet. Black Gold ni sloti ya kasino…

Read More

JKT yanusa ubingwa BDL | Mwanaspoti

FAINALI ya tatu ya Ligi ya kikapu Dar es Salaam (BDL) ilipigwa juzi Jumatatu kati ya JKT dhidi ya UDSM Outsiders ikibakiza mchezo mmoja tu kumjua bingwa wa mwaka 2024. Katika mchezo huo ambao JKT ilishinda pointi 67-62 na kubakiza ushindi mmoja ili itangazwe bingwa, inailazimu pia UDSM kushinda ili kusubiri mchezo wa tano na…

Read More

WANAWAKE NYAMAGANA WAPATA MAJIKO YA NISHATI SAFI ETHANOL KUPITIA KAMPENI YA SIKU 16 DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KUTOKA MOTO SAFI

  Baadhi ya wanufaika katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Amina Makilagi akiongea katika hafla hiyo Makamu Mkuu wa wa chuo cha SAUT Prof. Costa Ricky Mahalu akiongea katika hafla hiyo Wanufaika wakifuatilia matukio katika hafla hiyo Wanufaika wakifuatilia matukio katika hafla hiyo   *** Ukiwa ni mwendelezo wa…

Read More

Siku ya mkeka wa Meridianbet ni leo

Je unajua kuwa kwa dau lako dogo tuu unaweza ukala mkeka yaani namaanisha kupiga pesa kwenye mechi ambazo umebashiri?. Leo hii mechi nyingi zinacheza kuanzia kule Uingereza na kwingineko. Ingia www.meridianbet.co.tz. Ligi kuu ya Uingereza EPL leo hii kuna mechi mbili ambapo, Ipswich baada ya kupoteza mechi yake iliyopita, leo hii atamkaribisha kwake Crystal Palace…

Read More

Asimulia mwanaye alivyonusurika kuuawa kwa kuchinjwa na mumewe

Shinyanga. Siku moja baada ya Mkazi wa Kijiji Cha Mwamagunguli, Kata ya Kolandoto mkoani Shinyanga, Peter Makoye (45) kukutwa amefariki dunia kwa kujinyonga baada ya kujaribu kumuua mwanaye (6), mke wa marehemu, Elizabeth Mwigulu ameelezea tukio hilo lilivyotokea. Mtoto huyo kwa sasa anauguza jeraha lililosababishwa na shambulio hilo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa…

Read More