MERIDIANBET KUKUPA MKWANJA LEO KUPITIA BLACK GOLD

DHAHABU ni moja kati ya utajiri wenye thamani kubwa sana, Mabenki na wafanyabiashara wakubwa hutumia dhahabu kutunza ukwasi wao, Meridianbet kasino ya mtandaoni ni mgodi bora wa madhini yenye pesa kibao, cheza mchezo wa Black Gold uwe moja kati ya mabilionea wakubwa. Jisajili hapa kama hauna akaunti ya Meridianbet. Black Gold ni sloti ya kasino mtandaoni kutoka BetSoft. Kuna aina kadhaa…

Read More

Hatua madhubuti kukabili matukio ya ukatili wa kijinsia

Dar es Salaam. Jamii inakabiliwa na changamoto zinazohusu matukio ya ukatili wa kijinsia na unyanyasaji kama kubaka, kulawiti, kutupa watoto, wizi wa watoto, ukeketaji na vipigo. Matukio hayo yanazidi kuongezeka kila siku na asilimia kubwa yanatendeka katika jamii, hasa ndani ya familia. Kwa mujibu wa taarifa ya hali ya uhalifu iliyotolewa na Jeshi la Polisi,…

Read More

SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA JANGWANI YAFIKIWA NA TCAA

Afisa Mkuu udhibiti uchumi na Biashara kutoka Kitengo cha Uchumi TCAA Eufrasia Bille akitoa elimu kwa wanafunzi wa wanaosoma masomo ya Sayansi katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Jangwani ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Usafiri wa Anga duniani.Afisa Mwanamizi Elimu na Uchemuzi kutoka TCAA- CCC Debora Mligo akitoa elimu kuhusu namna abiria anavyoweza kupata…

Read More

KEDA (T) CO LTD YAGUSA JAMII KUJENGA DARAJA LA MBEZI-MSORWA-SHUNGUBWENI-BOZA

Mwamvua Mwinyi, Pwani KIWANDA cha KEDA (T) Ceramic Co. Ltd kimekamilisha ujenzi wa daraja katika Mto Msorwa, barabara ya Mbezi-Msorwa-Shungubweni-Boza, lililogharimu milioni 150 ili kuunganisha maeneo hayo. Mradi huo umetokana na mpango wa Kiwanda cha KEDA wa kurudisha fadhila kwa jamii pamoja na kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha wananchi wanaonufaika…

Read More

TANFOAM MARATHON ZAFANA ARUSHA – MICHUZI BLOG

Na Pamela Mollel,Arusha Riadha za TanFOAM Arusha zimetajwa kuwa kivutio kikubwa hususani kwa wakazi na Wageni mbalimbali waliopo katika jiji la Arusha Pia mbio hizo zinatajwa kuwa za kipekee kutokana na ubora wa maandalizi mazuri zikiwemo zawadi nono kwa washindi ambazo ni fedha pamoja na magodoro Aidha katika mbio hizo wanariadhaJoseph Panga na Hamoida Nassoro…

Read More

Ajali ya Hiace, lori yaua, yajeruhi Karagwe

Watu kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha baada ya lori la mizigo aina ya Scania kugongana na Toyota Hiace inayofanya safari kati ya Kayanga wilayani Karagwe na Bukoba Mjini. Ajali hiyo imetokea leo Jumanne, Desemba 3, 2024 katika Barabara ya Kihanga-Kyaka. Taarifa zinasema kuwa, miili ya watu kadhaa imehifadhiwa katika Hospitali Wilaya Karagwe, huku wengine wakijeruhiwa vibaya….

Read More