Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: December 2024

  • Home
  • 2024
  • December
  • Page 236
Habari

WAZIRI MKUU AFUNGUA MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA MAJAJI NA MAHAKIMU

December 3, 2024 Admin

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Chama cha Majaji na Mahakimu wa Afrika Mashariki kuendelea kujadili changamoto katika utoaji haki na kuweka mipango endelevu

Read More
Habari

Mara bado wakabiliwa na changamoto ya nishati chafu ya kupikia

December 3, 2024 Admin

Musoma. Imeelezwa kuwa, asilimia 90 ya wakazi wa Mkoa wa Mara wanatumia nishati isiyokuwa safi na salama kwa kupikia. Hayo yamesemwa leo Jumanne Desemba 3,

Read More
Habari

MERIDIANBET KUKUPA MKWANJA LEO KUPITIA BLACK GOLD

December 3, 2024 Admin

DHAHABU ni moja kati ya utajiri wenye thamani kubwa sana, Mabenki na wafanyabiashara wakubwa hutumia dhahabu kutunza ukwasi wao, Meridianbet kasino ya mtandaoni ni mgodi bora wa

Read More
Michezo

Boka, Mzize, Aucho wanogesha safari ya Yanga Algeria

December 3, 2024 Admin

Kikosi cha Yanga SC chenye wachezaji 25, kimeondoka Dar es Salaam mchana wa leo Desemba 3, 2024 kuelekea Algeria kwa ajili ya mchezo wa Ligi

Read More
Habari

Hatua madhubuti kukabili matukio ya ukatili wa kijinsia

December 3, 2024 Admin

Dar es Salaam. Jamii inakabiliwa na changamoto zinazohusu matukio ya ukatili wa kijinsia na unyanyasaji kama kubaka, kulawiti, kutupa watoto, wizi wa watoto, ukeketaji na

Read More
Habari

SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA JANGWANI YAFIKIWA NA TCAA

December 3, 2024 Admin

Afisa Mkuu udhibiti uchumi na Biashara kutoka Kitengo cha Uchumi TCAA Eufrasia Bille akitoa elimu kwa wanafunzi wa wanaosoma masomo ya Sayansi katika Shule ya Sekondari

Read More
Habari

KEDA (T) CO LTD YAGUSA JAMII KUJENGA DARAJA LA MBEZI-MSORWA-SHUNGUBWENI-BOZA

December 3, 2024 Admin

Mwamvua Mwinyi, Pwani KIWANDA cha KEDA (T) Ceramic Co. Ltd kimekamilisha ujenzi wa daraja katika Mto Msorwa, barabara ya Mbezi-Msorwa-Shungubweni-Boza, lililogharimu milioni 150 ili kuunganisha

Read More
Habari

TANFOAM MARATHON ZAFANA ARUSHA – MICHUZI BLOG

December 3, 2024 Admin

Na Pamela Mollel,Arusha Riadha za TanFOAM Arusha zimetajwa kuwa kivutio kikubwa hususani kwa wakazi na Wageni mbalimbali waliopo katika jiji la Arusha Pia mbio hizo

Read More
Habari

Ajali ya Hiace, lori yaua, yajeruhi Karagwe

December 3, 2024 Admin

Watu kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha baada ya lori la mizigo aina ya Scania kugongana na Toyota Hiace inayofanya safari kati ya Kayanga wilayani Karagwe na

Read More
Habari

Boni Yai akwama mahakamani kulinda ‘password’ za simu zake

December 3, 2024 Admin

Dar es Salaam. Meya mstaafu wa Manispaa ya Kinondoni na Ubungo, Boniface Jacob maarufu Boni Yai amekwaa kisiki baada ya Mahakama Kuu kumkatalia maombi yake

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 235 236 237 … 256 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.