Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: December 2024

  • Home
  • 2024
  • December
  • Page 237
Habari

Vita vyashika kasi Syria, Iran yataka diplomasia kutumika – DW – 03.12.2024

December 3, 2024 Admin

Mashambulizi hayo yalitokea kwenye vijiji vilivyopo kaskazini mwa jimbo la Deir Al Zor mapema hii leo. Hayo yanafanywa wakati kundi la Hezbollah la Iraq likitoa wito

Read More
Habari

THPS yatoa upimaji VVU kwa wafungwa 89,602 gerezani

December 3, 2024 Admin

Songea. Shirika la Tanzania Health Promotion Support (THPS) limetoa huduma za upimaji wa Virusi vya Ukimwi (VVU) kwa watu 89,602 waliopo gerezani huku 2,030 wakigundulika

Read More
Habari

Kusherehekea Ujumuishwaji: Ahadi ya SBL ya kuwawezesha Watu Wenye Ulemavu

December 3, 2024 Admin

KAMPUNI ya Serengeti Breweries Limited (SBL) inashirikiana na watu duniani kote kusherehekea Siku ya Kimataifa ya Watu Wenye Ulemavu inayoadhimishwa kila tarehe 3 Desemba ya

Read More
Habari

Mtoto anusurika kifo baada ya kuchomwa na petroli

December 3, 2024 Admin

Geita. Mwanafunzi wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Kasota, Kata ya Bugulula Wilaya ya Geita (9) amejeruhiwa kwa kuchomwa moto kwa kutumia petroli

Read More
Habari

Serikali imetenga Bil 9 ukarabati wa mji mkongwe :Rais Mwinyi

December 3, 2024 Admin

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza Serikali imetenga jumla ya shilingi Bilioni 9 kwa ajili ya kufanya

Read More
Habari

Mtoto amwagiwa Petroli na kuchomwa moto kisa kuiba 800

December 3, 2024 Admin

Mtoto anayesoma Darasa la Tatu katika shule ya Msingi Kasota (9) Mkazi wa kijiji cha kasota Kata ya Bugulula Halmashauri ya wilaya ya Geita Mkoani

Read More
Habari

Nondo asimulia alivyotekwa, kuteswa | Mwananchi

December 3, 2024 Admin

Dar es Salaam.  Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT-Wazalendo, Abdul Nondo amesimulia mwanzo mwisho tukio la kutekwa kwake, huku akisema bado ana hofu kuhusu maisha

Read More
Habari

Israel yafanya mashambulizi makubwa nchini Lebanon – DW – 03.12.2024

December 3, 2024 Admin

Watu 11 wameripotiwa kuuawa kufuatia mashambulizi hayo ya Israel nchini Lebanon. Jeshi la Israel limedai kuwa Hezbollah imekiuka makubaliano ya wiki iliyopita kwa kuvurumisha roketi

Read More
Habari

Mwenyekiti UVCCM Makongorosi auawa | Mwananchi

December 3, 2024 Admin

Mbeya. Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Tawi la Machinjioni, Kata ya Makongorosi Wilaya ya Chunya, mkoani Mbeya, Michael Kalinga amekutwa

Read More
Habari

Rais Biden katika ziara ya siku mbili nchini Angola – DW – 03.12.2024

December 3, 2024 Admin

Rais Joe Biden aliwasili katika katika jiji la Luanda, Jumatatu jioni kwa ziara ya siku mbili inayotarajiwa kujikita kwenye mradi wa kimataifa wa kukarabati miundombinu

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 236 237 238 … 256 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.