Vita vyashika kasi Syria, Iran yataka diplomasia kutumika – DW – 03.12.2024

Mashambulizi hayo yalitokea kwenye vijiji vilivyopo kaskazini mwa jimbo la Deir Al Zor mapema hii leo. Hayo yanafanywa wakati kundi la Hezbollah la Iraq likitoa wito kwa Baghdad kupeleka wanajeshi nchini Syria kuisaidia serikali.  Muungano wa SDF unaoongozwa na waasi wa Kikurdi kaskazini na mashariki mwa Syria, huko nyuma uliwahi kushirikiana na muungano ulioongozwa na Marekani…

Read More

THPS yatoa upimaji VVU kwa wafungwa 89,602 gerezani

Songea. Shirika la Tanzania Health Promotion Support (THPS) limetoa huduma za upimaji wa Virusi vya Ukimwi (VVU) kwa watu 89,602 waliopo gerezani huku 2,030 wakigundulika na maambukizi katika kipindi cha Oktoba 2023 hadi Septemba 2024. Upimaji huo uliofanyika kupitia mradi wa USAID Police and Prisons Healthcare ulifanikisha kugundua watu 1,362 kuwa na ugonjwa wa kifua…

Read More

Mtoto anusurika kifo baada ya kuchomwa na petroli

Geita. Mwanafunzi wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Kasota, Kata ya Bugulula Wilaya ya Geita (9) amejeruhiwa kwa kuchomwa moto kwa kutumia petroli na mama yake mzazi (jina linahifadhiwa). Tukio hilo limetokea jana Desemba 2, 2024 wakati mtoto huyo akiwa nyumbani kwao Kasota baada ya mama yake kumtuhumu kuiba Sh6,000 alizokuwa amezitunza kwenye…

Read More

Mtoto amwagiwa Petroli na kuchomwa moto kisa kuiba 800

Mtoto anayesoma Darasa la Tatu katika shule ya Msingi Kasota (9) Mkazi wa kijiji cha kasota Kata ya Bugulula Halmashauri ya wilaya ya Geita Mkoani humo amejeruhiwa kwa kumwagiwa mafuta ya Petrol na kuwashiwa moto sehemu mbalimbali za mwili wake na Mama yake Mzazi kwa kosa la kuiba Pesa. Akizungumza na Millardayo Siwema Kulwa ambaye…

Read More

Nondo asimulia alivyotekwa, kuteswa | Mwananchi

Dar es Salaam.  Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT-Wazalendo, Abdul Nondo amesimulia mwanzo mwisho tukio la kutekwa kwake, huku akisema bado ana hofu kuhusu maisha yake kutokana na vitisho alivyopewa. Amesema hofu inaongezeka zaidi kwa namna tukio hilo lilivyotokea, akisema kama waliweza kumteka hadharani, basi watu hao wamemuambia hawashindwi kumchukua tena mahali popote endapo akifungua…

Read More

Mwenyekiti UVCCM Makongorosi auawa | Mwananchi

Mbeya. Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Tawi la Machinjioni, Kata ya Makongorosi Wilaya ya Chunya, mkoani Mbeya, Michael Kalinga amekutwa ameuawa na mwili wake kutelekezwa. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo Jumanne, Desemba 3, 2024 na  mwili wake kukutwa Kata ya Mkola. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya,…

Read More