Sababu ya kuchapia katika mazungumzo ya Kiswahili

Huenda katika mazingira fulani kwa bahati mbaya umewahi kupata changamoto ya kutamka kwa isivyo sahihi baadhi ya maneno, na kujikuta unakosea baadhi ya herufi. Hali hii ndio tafsiri ya “kuchapia”.Zipo sababu mbalimbali zinazochochea kuibuka kwa kwa hali hii ikiwemo kutokea kwa bahati mbaya yaani isivyo tarajiwa wakati wa kipindi cha mazungumzo. Lakini zipo sababu zingine…

Read More

Simba, Yanga kuingia kibabe Algeria

YANGA na Simba wikiendi hii zitakuwa Algeria kucheza mechi zao za pili hatua ya makundi dhidi ya miongoni mwa vigogo wa nchi hiyo katika michuano inayosimamiwa na Shirikisho la Soka Afrika (Caf). Wataanza Yanga kucheza dhidi ya MC Alger ambao ni mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika mwaka 1976. Timu hizo zinakutana katika mchezo wa…

Read More

SMZ yaeleza changamoto ukokotoaji wa mafao

Unguja. Wizara ya Fedha na Mipango Zanzibar imesema Serikali inatambua changamoto tofauti ya ukokotoaji wa mafao ya kiinua mgongo hasa kwa wafanyakazi walioajiriwa kuanzia mwaka 1989/98.  Kutokana na hilo, imeunda timu ya wataalamu kuangalia changamoto hiyo kama ilivyobainishwa na  Naibu Waziri wa wizara hiyo, Juma Makungu Juma leo Jumanne Desemba 3, 2024 katika mkutano wa…

Read More

Matokeo yamtisha straika Namungo | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Namungo, Hassan Kabunda amesema hali inayopitia timu hiyo sio shwari kufuatia matokeo mabaya mfululizo ya Ligi. Mechi tano za mwisho, Namungo imeshinda moja dhidi ya Pamba Jiji Oktoba 28 kwa bao 1-0 ikipoteza nne mbele ya Yanga 2-0, Mashujaa 1-0, KMC 1-0 na Simba 3-0. Akizungumza na Mwanaspoti, Kabunda alisema ni kama bahati…

Read More

Maonyesho ya historia ya Tanzania yazinduliwa Berlin – DW – 03.12.2024

Tanzania na Ujerumani zimekuwa na historia kubwa inayoanzia enzi za ukoloni wakati ilipokuwa sehemu ya koloni la wajerumani na kufahamika kama “Ujerumani ya Afrika Mashariki.” Historia hiyo hata hivyo imejaa machungu kutokana na alama ya ukoloni iliyoachwa na Wajerumani waliowakandamiza wenyeji na kuwatesa wakati wa utawala wao. Soma pia: Ujerumani yawaomba radhi Watanzania kwa madhila ya…

Read More

Sh9 bilioni kutumika kufanya ukarabati Mji Mkongwe

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetenga Sh9 bilioni kufanya ukarabati wa majengo chakavu ndani ya Mji Mkongwe kwa mwaka 2024/25. Pamoja na kiasi hicho, Serikali ina lengo la kutafuta fedha kwa wadau ili kuwa na fedha za kutosha za kuwasaidia wananchi kuyaboresha majengo hayo. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ameeleza hayo jana…

Read More

Job, Aucho kuna jambo Yanga

MASHABIKI wa Yanga walikuwa na wasiwasi inakuwaje timu yao inakwenda Algeria kucheza na MC Alger katika mchezo wa Ligi Kuu Bara huku ikiwa na majeruhi wengi hasa wale wa kikosi cha kwanza. Wasiwasi huo umeibuka zaidi baada ya Novemba 30, 2024 kumshuhudia beki na nahodha wao msaidizi, Dickson Job akitolewa uwanjani dakika ya 82 akibebwa…

Read More

Shida ya Yanga siyo Aziz Ki

KIBARUA kijacho Yanga ni pale Algeria kwa ajili ya mechi yake ya pili ya Kundi A la Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya MC Alger, lakini mashabiki wakiwa hawana amani hasa kutokana na viwango vya nyota wao ikiwemo Stephane Aziz Ki na Prince Dube. Baada ya kupoteza mechi mbili mfululizo za Ligi Kuu Bara ikilala…

Read More