Watatu washikiliwa mauaji ya mzee wa miaka 72 Kilimanjaro

Moshi. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya Isaack Mallya (72), mkazi wa Kijiji cha Umbwe Onana, Kata ya Kibosho Magharibi, Wilaya ya Moshi. Mwili wa Mallya, ulikutwa jana Desemba 2, 2024 umetelekezwa nje ya nyumba yake ukiwa na majeraha sehemu mbalimbali. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro,…

Read More

USHIRIKIANO WA UNICEF NA TEA WABORESHA ELIMU KALIUA, TABORA

SHIRIKA la Watoto Duniani (UNICEF) kwa kushirikiana na Mfuko wa Elimu wa Taifa unaosimamiwa na Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) wametoa ufadhili wa shilingi milioni 93.9 kwa Halmashauri ya Kaliua kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya elimu. Kupitia ufadhili huo Shule ya Sekondari Kasungu imepata ufadhili wa ujenzi wa maabara ya sayansi kwa gharama ya…

Read More

ANAWAKE 15 WALIOJITOA WATUNUKIWA TUZO NA WILDAF

   WAMAMA Malkia 15 waliojitoa na kujitolea katika kufanya majukumu makubwa ya kuendeleza kazi  za Asasi za Kiraia nchini,wamepewa tuzo maalum kwa ajili ya kuwapongeza kwa kazi wanazofanya. Tuzo hizo zimetolewa na Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Barani Afrika (WiLDAF) wakati wa muendelezo wa kuadhimisha siku 16 za uanaharakati dhidi ya ukatili wa…

Read More

Wazazi hawa walivyojipanga likizo hii

Likizo zinakaribia kuanza, na wazazi wengi wanajiandaa kutoa nafasi kwa watoto wao kuweza kupumzika, lakini pia kuwawezesha kutumia muda huo kwa manufaa. Kwa wengi, likizo ni muda wa kuungana na familia, lakini pia ni changamoto ya kuhakikisha watoto wanakua na kujifunza, wakiepuka kutumia muda mwingi mbele ya runinga au simu. Godfrey Shija, mzazi wa watoto…

Read More

Mjadala ongezeko la shule za umma za Kiingereza

Haikuwa taharuki ndogo kwa wazazi wanaosomesha watoto katika Shule ya Msingi Ubungo NHC ya mkoani Dar es Salaam. Kiini cha taharuki hiyo iliyotokea Novemba mwaka huu na kuzua mjadala mkubwa mitandaoni, ni taarifa waliyodai wazazi kuwa wameambiwa shule hiyo ya umma inabadilishwa na kuwa ya mchepuo wa Kiingereza, hivyo wawahamishe watoto wao. Kwa Manispaa ya…

Read More