Nyongo kuongoza maziko ya kigogo wa Hazina, mwanaye

Arumeru. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Stanslaus Nyongo anatarajiwa kuongoza waombolezaji katika ibada ya maziko ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu katika Ofisi ya Msajili wa Hazina, Amos Nnko na binti yake, Maureen Nnko. Nnko na binti yake,  walifariki katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya…

Read More

2024 'mojawapo ya miaka mbaya zaidi katika historia kwa watoto walio kwenye migogoro' — Global Issues

Utafiti huoiliyotolewa Ijumaa, inapata kwamba haki za idadi kubwa ya watoto zinakiukwa, ikiwa ni pamoja na kuuawa na kujeruhiwa, kukosa shule na chanjo za kuokoa maisha, na kuwa na utapiamlo mbaya; idadi inatarajiwa tu kukua. Kuanzia Palestina hadi Myanmar, Haiti hadi Sudan, dunia inakumbwa na idadi kubwa zaidi ya migogoro tangu Vita vya Pili vya…

Read More

Wahamiaji 69 wafa maji wakivuka kwenda Ulaya

Mali. Wahamiaji 69 wamefariki wakiwemo raia 25 wa Mali, kufuatia boti waliyokuwa wamepanda kutoka Afrika Magharibi kwenda Hispania barani Ulaya, kupinduka katika Bahari ya Atlantic upande wa Morocco. Shirika la Associated Press (AP) limesema jana Desemba 27, 2014 kuwa mamlaka nchini Mali zimethibisha vifo vya raia wake 25 waliokuwa wakivuka kwa kutumia boti hiyo kwenda…

Read More

Promosheni ya kalenda ya mwaka inakupa mizawadi kabambe

Promosheni ya kibabe inayoendelea mjini kwasasa ni moja tu ambayo inafahamika kama Kalenda ya Mwaka, Promosheni hii inadumu kwa muda wa mwezi mmoja ambapo itakua ikitoa zawadi kila siku katika siku saba za wiki. Kwakua kila siku promosheni hii itakua inatoa nafasi ya wachezaji kushinda zawadi ambapo kila siku itakua na mchezo wake wa kasino…

Read More

Trump aingilia kati sakata la Tiktok kufungiwa Marekani

Marekani. Rais mteule wa Marekani, Donald Trump ametoa wito kwa Mahakama ya Juu nchini humo kuchelewesha uamuzi wa kuufungia mtandao wa Tiktok hadi atakapoingia madarakani. Tovuti ya The Guardian imeripoti kuwa Trump, anayetarajiwa kuapishwa Januari 20, 2025, amesema anaamini atapata suluhu la kisiasa la changamoto zilizoibuka kwenye matumizi ya mtandao huo unaomilikiwa na kampuni ya…

Read More

Meridianbet Yazindua Promosheni ya "Tamasha la Dau Bonanza" kwa Wateja wa USSD

MERIDIANBET, kampuni inayoongoza katika michezo ya kubashiri, inayo furaha kutangaza uzinduzi wa promosheni kabambe ya “Tamasha la Dau Bonanza” kwa wateja wake wanaotumia huduma ya USSD (*149*10#). Promosheni hii inategemea kumalizika tarehe 22 Januari 2025. Vigezo na Masharti ya Promosheni: · Wateja Wanaostahiki: Wateja wote wanaotumia huduma ya USSD (*149*10#) na kuweka dau ndani ya…

Read More

Matampi ampa tuzo Camra | Mwanaspoti

WAKATI Ligi Kuu Bara ikiwa ndio kwanza imeanza duru la pili na ikienda kusimama hadi Januari 20 mwakani, aliyekuwa kipa wa Coastal Union, Ley Matampi ameitoa tuzo ya Kipa Bora msimu huu kwa Moussa Camara ‘Spider’, akiamini ndiye mrithi wake kwa sasa baada ya yeye kuondoka. Matampi alitwaa tuzo hiyo msimu uliopita kwa kuwa na…

Read More

Taoussi amkingia kifua kipa Azam FC

KOCHA wa Azam, Rachid Taoussi amesema makosa yanayoendelea kufanywa na kipa wa kikosi hicho, Mohamed Mustafa ni ya kawaida kwa mtu yeyote, hivyo asingependa kumlaumu nyota huyo zaidi ya kumwambia aongeze umakini katika majukumu yake. Kauli ya kocha huyo inajiri baada ya Mustafa kusababisha bao jepesi katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Maafande…

Read More