Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: December 2024

  • Home
  • 2024
  • December
  • Page 242
Habari

Baba adaiwa kujinyonga baada ya kumchinja mtoto wake

December 2, 2024 Admin

Shinyanga. Mkazi wa Kijiji cha Mwamagunguli, Kata ya Kolandoto Manispaa ya Shinyanga mkoani humo, Peter Makoye (45) amekutwa amejinyonga kwa kutumia kamba ndani ya nyumba

Read More
Kimataifa

Kesi ya Mabadiliko ya Tabianchi Inayoongozwa na Vijana Yaanzia The Hague – Masuala ya Ulimwenguni

December 2, 2024 Admin

Ikulu ya Amani ni makazi ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki. Mahakama hiyo leo itaanza kusikilizwa kuhusu majukumu ya nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa

Read More
Habari

Samia amteua bosi MOI, mwenyekiti bodi ya PSSSF

December 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Dk Mpoki Ulisubisya kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo

Read More
Habari

Mzee akutwa ameuawa Moshi, mwili watelekezwa nyumbani kwake

December 2, 2024 Admin

Moshi. Isaack Mallya (72), mkazi wa Kijiji cha Umbwe Onana, Kata ya Kibosho Magharibi, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro amekutwa ameuawa nyumbani kwake na watu

Read More
Habari

Wastaafu TRA Waombwa kutoa Mchango wao kwa Mamlaka ili izidi Kujiimarisha

December 2, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu Michuzi Tv Kamishana Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), Yusuph Mwenda amesema wataendelea kutumia uzoefu wa wastaafu wa Mamlaka hiyo ilikuendelea

Read More
Michezo

Bondia aliyefariki Zanzibar kwa kupigwa TKO, azikwa Dar

December 2, 2024 Admin

Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Abassi Mselem, ambaye Novemba 30, 2024 alipigwa ulingoni na kupoteza fahamu kisha kufariki Desemba 1, 2024, amezikwa leo jijini

Read More
Habari

Jela kwa kutumia laini ya simu ya mtu mwingine

December 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Ernest Lwila (30) kulipa faini ya Sh5 milioni au kutumikia kifungo cha miezi sita gerezani, baada

Read More
Habari

KATIBU MKUU ARDHI AAGIZA VIKAO VYA MUDA MFUPI OFISI ZA ARDHI KABLA YA KUANZA KAZI

December 2, 2024 Admin

Na Munir Shemweta, WANMM DODOMA Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga ameziagiza ofisi zote za Ardhi nchini kuanzia

Read More
Habari

Yas yataja sababu kubadili jina, vipaumbele

December 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mpito wa Kampuni ya Yas Tanzania, Jerome Albou ametaja sababu zilizoifanya kampuni hiyo kubadili jina kutoka Tigo. Albou

Read More
Habari

Rais Samia Mgeni Wa Heshima, Kongamano la 42 TVA, Mkoani Arusha.

December 2, 2024 Admin

  Na Jane Edward, Arusha    Kongamano la 42 la kisayansi la chama cha kitaaluma madaktari wa wanyama Tanzania, linatarajiwa kufungulia na Rais Dkt. Samia

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 241 242 243 … 256 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.