Baba adaiwa kujinyonga baada ya kumchinja mtoto wake
Shinyanga. Mkazi wa Kijiji cha Mwamagunguli, Kata ya Kolandoto Manispaa ya Shinyanga mkoani humo, Peter Makoye (45) amekutwa amejinyonga kwa kutumia kamba ndani ya nyumba yake. Tukio hilo limetokea leo Jumatatu, Desemba 2, 2024, saa 11 alfajiri, huku marehemu akidaiwa kuchukua uamuzi huo muda mfupi baada ya kudaiwa kumjeruhi mtoto wake wa kike mwenye umri…