Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: December 2024

  • Home
  • 2024
  • December
  • Page 243
Habari

Mahakama Kuu yatupa maombi ya Mdude, aendelea kushikiliwa

December 2, 2024 Admin

Mbeya. Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imetupilia mbali maombi ya mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mdude Nyagali, aliyekuwa akiomba kufikishwa mahakamani au

Read More
Habari

RAIS DKT. SAMIA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUTOA HESHIMA NA KUAGA MWILI WA FAUSTINE NDUGULILE

December 2, 2024 Admin

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwaongoza waombolezaji mbalimbali, wakiwemo viongozi wa

Read More
Habari

ELIMU YA KUPINGA VITENDO VYA UKATILI WA KIJINSIA YA WADAU WANAOSHIRIKIANA NA BARRICK,TAIFA GAS NA POLISI YAWAFIKIA WALIMU NA MAMA LISHE MSALALA

December 2, 2024 Admin

Mkufunzi wa nishati kutoka kampuni ya Taifa Gas ambayo ni mdau katika kampeni hii, Praygod Ole Naiko akitoa mafunzo ya matumizi ya nishati salama ya

Read More
Habari

Matukio ya utekaji bado tishio nchini

December 2, 2024 Admin

Dar/mikoani. Inasubiriwa atekwe nani ili hatua zichukuliwe? Ndilo swali wanalojiuliza wengi kuhusu giza lililogubika mwenendo wa uchunguzi wa matukio ya utekaji na kutoweka kwa raia

Read More
Habari

WAZIRI KOMBO AWASILI UAE KUSHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHUSIANO KATI YA TANZANIA NA UAE

December 2, 2024 Admin

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewasili katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE ) kushiriki

Read More
Habari

Majaliwa awapa njia wahasibu Afrika matumizi ya teknolojia

December 2, 2024 Admin

Arusha. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka wahasibu wakuu wa Serikali barani Afrika, kujikita katika matumizi ya teknolojia na bunifu ili kuboresha mifumo ya usimamizi wa

Read More
Habari

Wenye ulemavu ‘walia’ changamoto wanazopitia

December 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kupunguza unyanyapaa, kutokubalika kwenye uongozi, kutengwa na jamii na kuuawa kwa imani potofu, ni  miongoni mwa changamoto chache kati ya nyingi ambazo

Read More
Habari

ICC yaanza vikao vya kila mwaka mjini The Hague – DW – 02.12.2024

December 2, 2024 Admin

Mahakama ya Kimataifa ya makosa ya Jinai ICC imefungua mkutano wao wa kila mwaka wakati ambapo mahakama hiyo ikikabiliwa na msukumo juu ya vibali vyake

Read More
Habari

Morogoro yaanza kupata mvua, Ma-DC waja na mikakati kukabili athari

December 2, 2024 Admin

Morogoro. Maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Morogoro yameanza kupata mvua, huku wakuu wa wilaya na viongozi wengine wa halmashauri wakiweka mikakati ya kuepuka athari zinazoweza

Read More
Habari

TCAA YATOA ELIMU SHULE YA SEKONDARI YA KIBASILA

December 2, 2024 Admin

  MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imetoa elimu kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa na Mamkala hiyo kwa wanafunzi wa Shule ya sekondari ya Kibasila

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 242 243 244 … 256 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.