Mahakama Kuu yatupa maombi ya Mdude, aendelea kushikiliwa

Mbeya. Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imetupilia mbali maombi ya mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mdude Nyagali, aliyekuwa akiomba kufikishwa mahakamani au kuachiwa huru tangu akamatwe na polisi Novemba 22, mwaka huu. Maombi hayo yaliwasilishwa na mawakili wa kujitegemea, Boniface Mwabukusi na Philipo Mwakilima, mbele ya Jaji Mussa Pomo. Shauri hilo lilianza…

Read More

ELIMU YA KUPINGA VITENDO VYA UKATILI WA KIJINSIA YA WADAU WANAOSHIRIKIANA NA BARRICK,TAIFA GAS NA POLISI YAWAFIKIA WALIMU NA MAMA LISHE MSALALA

Mkufunzi wa nishati kutoka kampuni ya Taifa Gas ambayo ni mdau katika kampeni hii, Praygod Ole Naiko akitoa mafunzo ya matumizi ya nishati salama ya kupikia. Mkufunzi wa nishati kutoka kampuni ya Taifa Gas ambayo ni mdau katika kampeni hii, Praygod Ole Naiko akitoa mafunzo ya matumizi ya nishati salama ya kupikia. Washiriki wa mafunzo…

Read More

Matukio ya utekaji bado tishio nchini

Dar/mikoani. Inasubiriwa atekwe nani ili hatua zichukuliwe? Ndilo swali wanalojiuliza wengi kuhusu giza lililogubika mwenendo wa uchunguzi wa matukio ya utekaji na kutoweka kwa raia yanayofanywa na watu wasojulikana. Msingi wa swali hilo ni mashaka waliyonayo wananchi juu ya kukithiri kwa matukio hayo ambayo yanaendelea kuwa tushio, huku mamlaka zikiishia kuahidi kuchukua hatua, bila kutoa…

Read More

Majaliwa awapa njia wahasibu Afrika matumizi ya teknolojia

Arusha. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka wahasibu wakuu wa Serikali barani Afrika, kujikita katika matumizi ya teknolojia na bunifu ili kuboresha mifumo ya usimamizi wa fedha, uwazi na uwajibikaji kwa umma. Amesema ili kujenga imani kwa umma, mifumo ya kifedha inapaswa kuwa ya kisasa inayokabiliana na changamoto mpya. Wito huo umetolewa leo Jumatatu Desemba 2,…

Read More

Wenye ulemavu ‘walia’ changamoto wanazopitia

Dar es Salaam. Kupunguza unyanyapaa, kutokubalika kwenye uongozi, kutengwa na jamii na kuuawa kwa imani potofu, ni  miongoni mwa changamoto chache kati ya nyingi ambazo zinatajwa na watu wenye ulemavu kudidimiza utu na ustawi wao. Mfano wa matukio ya ukatili ni lile la mtoto Asimwe Novart aliyeuawa kwa kile kinachodaiwa ni kwa sababu ya imani…

Read More

TCAA YATOA ELIMU SHULE YA SEKONDARI YA KIBASILA

  MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imetoa elimu kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa na Mamkala hiyo kwa wanafunzi wa Shule ya sekondari ya Kibasila na kuwataka kusoma masomo ya sayansi ili waweze kusomea masuala ya anga kwa lengo la kupunguza uhaba wa watalaam wa Sekta hiyo nchini.  Akizungumza wakati wa kutoa elimu hiyo Afisa…

Read More