Yas wazungumzia upekee wa jina hilo

Dar es Salaam. Ofisa Mtendaji Mkuu wa mpito wa Yas Tanzania, Jérôme Albou amesema jina la Yas na Mixx by Yas, ni matokeo ya ubunifu uliofanywa kupata kitu cha tofauti na kuja kivingine katika biashara. Albou amesema miongoni mwa matarajio yao ni kuwa na huduma bora zinazohusu bidhaa zao zote. “Tumekuwa na miaka 14 ya…

Read More

Je, ni nani Washindi wa Mwisho katika Mapigano ya Kijeshi yanayoendelea Ulimwenguni? – Masuala ya Ulimwenguni

Mkopo: Kumbukumbu za Kitaifa za Marekani na Thalif Deen (umoja wa mataifa) Jumatatu, Desemba 02, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Des 02 (IPS) – Iwapo na wakati migogoro mikali ya kijeshi nchini Ukraine na Gaza itamalizika, washindi wa mwisho hawatakuwa Warusi, Wamarekani au Waisraeli bali watengenezaji silaha duniani—kwa dharau wakielezewa kama “wafanyabiashara. ya…

Read More

Minziro: Pamba bado bado | Mwanaspoti

BAADA ya ushindi wake wa pili tangu amejiunga na Pamba FC, kocha Fredy Felix ‘Minziro’ amesema bado anajitafuta kuhakikisha anaifanya timu hiyo kuwa bora. Pamba FC chini ya Minziro imeshinda mechi dhidi ya Fountaine Gate ugenini mabao 3-1 na juzi imeshinda mbele ya Ken Gold bao 1-0. Akizungumza na Mwanaspoti, Minziro alisema mdogo mdogo wanasogea…

Read More