Coastal yaichapa Prisons kibishi | Mwanaspoti

COASTAL UNION imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Tanzania Prisons na kuifanya timu hiyo kusogea hadi nafasi ya tisa kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara. Mchezo huo ulipigwa leo Jumatatu saa 7 mchana kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha, baada ya kushindwa kufanyika juzi kutokana na mvua kubwa iliyonyesha. Coastal ilikuwa…

Read More

Samia asema atatafutwa mrithi wa Dk Ndugulile WHO

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Dk Faustine Ndugulile itaelekezwa kwa Mtanzania mwingine mwenye sifa. Rais Samia amesema hayo leo Jumatatu Desemba 2, 2024 katika hafla ya kuaga mwili wa Dk Ndugulile, aliyekuwa mbunge wa Kigamboni iliyofanyika…

Read More

Azam ilivyopambana siku 300 kurejea kileleni

HATIMAYE matajiri wa Chamazi, Azam FC wamerejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya miezi tisa na siku 26 (sawa na siku 300) kufuatia ushindi wa mabao 3-1 ambao waliupata juzi, Jumapili kwenye Uwanja wa Jamhuri dhidi ya wenyeji wao, Dodoma jiji. Mara ya mwisho kwa Azam kuwa kileleni mwa msimo wa Ligi…

Read More

Elimu ya GBV na matumizi ya nishati safi ya wadau wanaoshirikiana na Barrick na Taifa Gas yaendelea

MAKUNDI mbalimbali ya Wanawake wakiwemo walimu na mama lishe wanaendelea kupata elimu ya kupinga vitendo vya ukatili wa kijisia katika kuadhimisha siku 16 dhidi ya ukatili wa kijinsia sambamba na kupatiwa mafunzo ya matumizi ya nishati safi na kugawiwa majiko ya mitungi ya gesi. Katika maadhimisho hayo yanayoendelea Barrick na washirika wake wanaendesha shughuli mbalimbali za…

Read More

Mdee asimulia misimamo ya Dk Ndugulile ‘tusiwe wanafiki’

Dar es Salaam. Mwakilishi wa wabunge walio wachache bungeni, Halima Mdee amesema aliyekuwa mbunge wa Kigamboni (CCM), Dk Faustine Ndugulile alikuwa wa moto, akimaanisha alisimamia kile alichokiamini bila kuyumba. Mdee ambaye pia mbunge wa viti maalumu, amesema kitu pekee ambacho wengine wanapaswa kujifunza kutoka kwa Dk Ndugulile ni “Kuwa wa moto ili tusaidie nchi na…

Read More