COASTAL UNION imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Tanzania Prisons na kuifanya timu hiyo kusogea hadi nafasi ya tisa kwenye msimamo wa Ligi
Month: December 2024

Na Paul Mabeja, DODOMAZAIDI ya Sh. milioni 40 zimetolewa na Shirika lisilo la kiserikali la Abilis Foundation kwa ajili ya kutekeleza mradi wa mwaka mmoja

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Dk
WAZIRI wa Maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto Zanzibar Mhe. Riziki Pembe Juma ameitaka jamii kushirikiana kwa misingi ya maadili mema, kudumisha amani

HATIMAYE matajiri wa Chamazi, Azam FC wamerejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya miezi tisa na siku 26 (sawa na siku 300)

MAKUNDI mbalimbali ya Wanawake wakiwemo walimu na mama lishe wanaendelea kupata elimu ya kupinga vitendo vya ukatili wa kijisia katika kuadhimisha siku 16 dhidi ya ukatili

RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza waombolezaji kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Marehemu Faustine

Dar es Salaam. Mwakilishi wa wabunge walio wachache bungeni, Halima Mdee amesema aliyekuwa mbunge wa Kigamboni (CCM), Dk Faustine Ndugulile alikuwa wa moto, akimaanisha alisimamia

Dar es Salaam. Watoto wa alikuwa mbunge wa Kigamboni (CCM), marehemu Dk Faustine Ndugulile (55) wamemzungumzia baba yao namna walivyoishi pamoja, huku wakikumbuka jinsi alivyokuwa

Kikao cha 16 cha Mkutano wa Nchi Wanachama (COP 16) cha Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Kupambana na Kuenea kwa Jangwa (UNCCD) kitafanyika Riyadh,