Eneo la kilimo cha Umwagiliaji laongezwa

Unguja. Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar imeongeza eneo la kilimo cha umwagiliaji kutoka hekta 875 mwaka 2019 hadi kufikia hekta 2,300 mwaka 2024. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar Shamata Shaame Khamis leo Jumatatu Desemba 2, 2024 wakati akijibu swali la mwakilishi wa Kwerekwe, Ameir Abdalla Ameir…

Read More

Wasira: Tatizo la maadili bado kubwa nchini

Unguja. Mwanasiasa mkongwe nchini, Stephen Wasira amesema Taifa linakabiliwa na tatizo kubwa la mmomonyoko wa maadili. Amesema tatizo hilo pia lipo kwa baadhi ya viongozi wa kitaifa na kisiasa, hivyo kuna haja ya somo la maadili kupewa kipaumbele katika taasisi za elimu ya juu. Wasira ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere…

Read More

LIVE: Viongozi ‘wamiminika’ kumuaga Dk Ndugulile Dar

Dar es Salaam. Viongozi mbalimbali wa kitaifa wamefika katika viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam kuhudhuria misa maalumu ya kumuaga aliyekuwa mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika Dk Faustine Ndugulile. Misa hiyo itakayoendeshwa na Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Dar es Salaam, Lameck Stephano…

Read More

Mila, desturi kandamizi chanzo cha ukatili

Dar es Salaam. Kila mwaka Novemba 25 hadi Desemba 10, dunia hujikita kwenye kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia. Ukatili huu unatajwa kuwaathiri wanawake na watoto ukilinganisha na idadi ya wanaume wanaokutana na ukatili huo. Kihistoria, siku hii ilianza kuadhimishwa rasmi mwaka 1981 ikiwa mi njia ya kuwaenzi wanaharakati wa kisiasa Mirabal Sisters…

Read More

BoT yazungumzia uimara wa sekta ya benki

Dar es Salaam. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema sekta ya fedha iko imara na inakua, licha ya changamoto za kiuchumi za kimataifa ikiwa ni pamoja na mabadiliko ya viwango vya ubadilishaji fedha, vita vya Ukraine na Mashariki ya Kati pamoja na changamoto za mabadiliko ya tabianchi. Ripoti ya hivi karibuni ya mwaka ya usimamizi…

Read More

Utata Ngassa kuwa mfungaji bora wa Taifa Stars

Tarehe kama ya jana, Disemba Mosi, mwaka 2006, Mrisho Khalfan Ngassa aliifungia Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) bao moja katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Djibouti, kwenye mashindano ya CECAFA Senior Challenge Cup, yaliyofanyika Ethiopia. Ngassa alifunga bao hili akiwa na miaka 17, miezi 6 na siku 26, kutokana na taarifa zake rasmi kwamba alizaliwa Mei…

Read More

Rais wa Marekani Joe Biden aelekea ziarani Angola – DW – 02.12.2024

Mnamo mwezi Oktoba, Biden aliahirisha mpango wa kuitembelea Angola wakati Kimbunga Milton kilipokaribia kulifikia jimbo la Florida. Alifanya hivyo ili kusimamia mipango ya kukabiliana na janga hilo. Katika ziara ya sasa, mara tu atakapotua mjini Luanda, atashughulikia ajenda kadhaa. Anatarajiwa kutia saini mikataba ya kijeshi, kisiasa na kiuchumi ikiwa ni ishara ya kuimarisha uhusiano kati…

Read More

Simba, Pamba zatozwa faini mamilioni

Klabu ya soka ya Pamba Jiji ya Mwanza imetozwa faini ya Sh5 milioni kwa kosa la maofisa wake kuingilia mazoezi ya klabu ya Simba siku moja kabla ya tarehe ya mchezo tajwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba. Maofisa wa Pamba walionekana ndani ya Uwanja wa CCM Kirumba katika muda ambao kikanuni ulikuwa ni wa klabu…

Read More