CEO Simba na mizigo ya kubeba

Novemba 23, 2024, Klabu ya Simba ilimtangaza rasmi, Zubeda Hassan Sakuru kuwa kaimu mtendaji mkuu (CEO), hatua ambayo imepokelewa kwa hisia mchanganyiko kutoka kwa wadau wa soka lakini pia na wanachama wa timu hiyo kutokana na matarajio yao. Zubeda ameteuliwa kushika wadhifa huo akichukua nafasi ya Mnyarwanda, Francois Regis aliyedumu kwa miezi minne tu ndani…

Read More

Mwalimu Wenseslaus kutembea umbali wa zaidi ya Kilomita 800 kwa baiskeli kushiriki Sherehe za maadhimisho ya Uhuru wa Tanzania

Mwalimu Wenseslaus Lugaya(34) anatarajajia kutumia Siku Nane kutembea umbali wa zaidi ya Kilomita 800 kwa baiskeli kutoka Mkoani Kigoma hadi Dodoma kushiriki Sherehe za maadhimisho ya Uhuru wa Tanzania bara ifikapo Desemba 9,2024 sambamba na kutumia safari hiyo kwa ajili ya kutangaza mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita katika kutekeleza miradi ya Maendeleo na…

Read More

Maandalizi Mkutano wa (EAMJA) Yakamilika kwa Asilimia Mia Moja Huku Nchi ya Uganda Ikiongoza Kwa ushiriki Mkubwa.

Na Jane Edward, Arusha  Maandalizi ya Mkutano wa 21 wa Chama cha Majaji na mahakimu (EAMJA)kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki yamekamilika kwa asilimia mia moja,huku wageni kutoka nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki wakiendelea kuwasili huku nchi ya Uganda ikiongoza kwa uwakilishi wa zaidi ya majaji na mahakimu mia moja. Akizungumza na Waandishi wa…

Read More

MAAMBUKIZI YA VVU YAPUNGUA NCHINI TANZANIA-WAZIRI MHAGAMA

Leo ni tarehe 1 Desemba 2024, ambapo dunia inaadhimisha Siku ya UKIMWI Duniani. Kitaifa, maadhimisho haya yamefanyika Mkoani Ruvuma yakiongozwa na mgeni rasmi, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango. Akitoa taarifa yake, Waziri wa Afya nchini, Mheshimiwa Jenista Mhagama, ameeleza juhudi za serikali katika mapambano dhidi ya ugonjwa…

Read More

DKT.MPANGO -MKAKATI WA SERIKALI NI KUTOKOMEZA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI NCHINI

Siku ya Ukimwi Duniani, Imeadhimishwa Kitaifa leo tarehe 01/12/2024, maadhimisho yamefanyika katika Uwanja wa Majimaji, Manispaa ya Songea, mkoani Ruvuma. Hafla hii imeongozwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, ambaye amesisitiza azma ya serikali kuhakikisha inatokomeza maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU) nchini. Katika hotuba yake, Mhe. Dkt….

Read More

DKT.MPANGO-MKAKATI WA SERIKALI NI KUTOKOMEZA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI NCHINI

Siku ya Ukimwi Duniani, Imeadhimishwa Kitaifa leo tarehe 01/12/2024, maadhimisho yamefanyika katika Uwanja wa Majimaji, Manispaa ya Songea, mkoani Ruvuma. Hafla hii imeongozwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, ambaye amesisitiza azma ya serikali kuhakikisha inatokomeza maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU) nchini. Katika hotuba yake, Mhe. Dkt….

Read More

Olomi aipaisha Tanzania gofu Afrika

NEEMA Olomi ameonyesha kiwango bora kabisa katika michuano ya gofu ya ubingwa wa Afrika iliyomalizka mwishoni mwa wiki mjini Agadir, Morocco baada ya kushika nafasi ya saba kati ya zaidi ya wachezaji 60 kutoka mataifa 20 yaliyoshiriki michuano hii. Alama alizopata pia ziliiwezesha Tanzania kushika nafasi ya tano ikiwa nyuma ya Uganda, Kenya, Afrika Kusini…

Read More