JKT sasa ni mwendo wa vichapo

USHINDI wa mechi mbili mfululizo katika Ligi Kuu Bara umempa ahueni kocha wa JKT Tanzania, Ahmad Ally, ambaye sasa ana matumaini makubwa ya kuendeleza rekodi nzuri kwenye michezo ijayo. Ally anaamini timu yake inaweza kufanikisha matokeo mazuri, hususani katika michezo mitatu mfululizo inayowakabili nyumbani, ukiwamo mmoja wa Kombe la FA dhidi ya Igunga United.  Baada…

Read More

THPS yajiimarisha katika utoaji wa huduma mbalimbali

*Ni kwenye miradi ya Ukimwi,Kifua Kikuu,Uchunguzi wa Saratani ya Kizazi Na Chalila Kibuda ,Michuzi TV Shirika la Tanzania Health Promotion Support (THPS) kwa ufadhili wa Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kukabiliana na UKIMWI (PEPFAR) kupitia Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Marekani (CDC), na Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa…

Read More

Yanga yapewa refa wa 4-0

SHIRIKISHO la Soka Barani Afrika (CAF) limemteua mwamuzi wa kati, Daniel Nii Ayi Laryea, raia wa Ghana kusimamia mchezo wa pili wa hatua ya makundi kati ya wenyeji MC Alger dhidi ya Yanga utakaopigwa Algeria Desemba 7, kwenye Uwanja wa du 5 Juillet.Laryea aliyeanza kuoredheshwa kuwa mwamuzi wa kimataifa wa FIFA tangu mwaka 2014, amekuwa…

Read More

RAIS SAMIA AMEKATA KIU MRADI WA MAJI MAKONDE, MTWARA

Na Shilatu, E.J Wananchi wa wilaya ya Newala, Tandahimba na Mtwara hawatakaa wamsahau Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kutokana na mradi wa maji wa Makonde ambapo Serikali kwa kushirikiana na Shirika la CI Imate Resilient Infrastructure Development Facility (CRIDF) wameamua kuboresha uzalishaji na kuboresha huduma ya maji ya Makonde…

Read More

Nondo alivyosaidiwa na bodaboda, polisi yasema

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Tanzania limesema Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa chama cha ACT Wazalendo, Abdul Nondo alitelekezwa maeneo ya fukwe za Coco, Kindondoni jijini Dar es Salaam na watu asiowafahamu. “Baada ya kutelekezwa katika eneo hilo, Nondo alisimamisha bodaboda na kumwelekeza amfikishe katika ofisi za chama chake zilizopo Magomeni, Jijini Dar…

Read More