Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: December 2024

  • Home
  • 2024
  • December
  • Page 249
Habari

MWANAFUNZI LIGHTNESS AOMBA SAPOTI YA RAIS SAMIA, FLAVIANA MATATA AWE MWANAMITINDO WA KIMATAIFA

December 2, 2024 Admin

Mwanafunzi Lightness Enock Ngwangwalu mwenye umri wa miaka 16 aliyemaliza Kidato cha Nne katika Shule ya Sekondari Mbabala, Dodoma amesema ndoto yake ni kuwa mwanamitindo

Read More
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 2, 2024

December 2, 2024 Admin

Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam December 2, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti

Read More
Michezo

Fadlu: Huyo Ramovic? Ngojeni muone

December 2, 2024 Admin

YANGA imeshinda mechi yake ya kwanza chini ya kocha Sead Ramovic, ushindi ulioshusha presha kwa mashabiki wa timu hiyo lakini kocha wa watani wao Fadlu

Read More
Habari

Nondo atelekezwa Magomeni akiwa mahututi

December 1, 2024 Admin

  MWENYEKITI wa Ngome ya Vijana ya chama cha ACT-Wazalendo, Abdul Nondo, amepatikana usiku huu baada ya kutupwa karibu na makao makuu ya chama hicho,

Read More
Habari

CCM MKOA WA PWANI YATOBOA SIRI KUCHUKUA KWA KISHINDO MITAA YOTE 146

December 1, 2024 Admin

VICTOR MASANGU, PWANI Chama cha mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani kimesema kwamba kimeshinda kwa kishindo na kufanikiwa kuweza kuchukua mitaa yote 146 ndani ya Mkoa

Read More
Habari

WAKULIMA WILAYANI TUNDURU WAKUMBUSHWA KUWEKA FEDHA ZA KUNUNULIA PEMBEJEO

December 1, 2024 Admin

Na Mwandishi Maalum, Tunduru TANI zaidi ya 2,878 za korosho ghafi, zimeuzwa na wakulima wa zao hilo katika mnada wa sita uliofanyika katika chama cha

Read More
Habari

TGS 2024: Wajiolojia wamiminika Tanga, waanza kwa ziara ya mafunzo

December 1, 2024 Admin

Wajiolojia kutoka ndani na nje ya nchi ya Tanzania wamewasili Jijini Tanga kwa ajili ya Mkutano wao wa mwaka (TGS 2024) utakaofanyika Desemba 04 hadi

Read More
Habari

Hivi ndivyo Nondo wa ACT Wazalendo alivyotekwa Dar

December 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati tukio la Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT-Wazalendo, Abdul Nondo kudaiwa kutekwa na watu wasiojulikana likiibua mjadala, Jeshi la Polisi

Read More
Habari

Ummy Mwalimu ataja siri ushindi wa Dk Ndugulile WHO

December 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mbunge wa Tanga Mjini, Ummy Mwalimu amezungumzia ushindi wa aliyekuwa mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika na

Read More
Kimataifa

Maafisa wa Umoja wa Mataifa wametoa hofu juu ya kuongezeka kwa ghasia kaskazini magharibi mwa Syria – Masuala ya Ulimwenguni

December 1, 2024 Admin

Kengele hiyo inakuja huku kukiwa na ongezeko kubwa la mapigano katika Jimbo la Aleppo, na kusambaa hadi sehemu za majimbo ya Idleb na Hama na

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 248 249 250 … 256 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.